wIKI CHACHE ZILIZOPITA NILIAHIDI KUWA MTU ATAKAYEKUWA WA KWANZA KUPIGA PICHA NA KUNI INBOX KWENYE PAGE YANGU PINDI PAGE HII ITAKAPOFIKISHA LIKE 44,444. MTU HUYO ATAJISHINDIA LAKI MOJA PAMOJA NA CD MOJA YA ALBUM YANGU.NASHUKURU MUNGU USIKU WA KUAMKIA LEO PAGE HII IMETIMIZA IDADI HIYO YA WATU. WATU WENGI SANA WAMENI INBOX PICHA HIYO ILA AMBAYE AMEKUWA WA KWANZA AMENI INBOX PICHA HII MASAA MA NANE YALIYOPITA NA NDIYE MSHINDI WETU ANAITWA @Dismas Hiza DISMAS POPOTE ULIPO TUNAOMBA UANDIKE CHOCHOTE KWENYE POST HII HALAFU UNI INBOX NAMBA YAKO YA SIMU ILI UKABIDHIWE HAKI YAKO ASANTE SANA. ASANTENI WOOOTE MLIOSHIRIKI NA MUNGU AWABARIKI SANA.
- 162 people like this.
- Dismas Hiza Hureeeeeeeeeeeeee! UNBELIEVABLE!!!! Aisee sikutegemea kabisa kuibuka mshindi. Pa1 sana Kala na wadau wote
- Maliyamoto Banda Shaba Kwahiyo mi ndo sijashinda mnama. Mi nagundu gani aisee. Nitoe hata buku dala basi kwa kushow respect
- Tea Cake Dismas unanikumbuka kaka?,tulisomaga wote miaka ile pale mtwigu mpandanga secondary school na mm ndie nlikuwa kaka mkuu,nitoe basi japo na buku 5 Mzee
- Edda Haule cku ingne sema mdada wa kwanza. boyz mna2zd maujanja coz 2ko bz kuandaa misosi jikon. mambo meng mna win. unadhan ha2taman ushnd? mc2fanyie ukirtimba dairy jah.
- Baraka Sangija Buyobe Iwe kashinda kweli sasa isije kuwa msela wako mmefanya bosheni maana mtz bwana...
- Adams Dav Jr. Jamaa ishu za siasa znakupeleka vbayaaa angalia unawadanganya watanzania kua aliepost iyo picha ame2ma masaa 8 yaliyopita wakat iyo page imefikisha hizo likes 44,444 ilikua saa kumi kasoro...duhhh bongo nomaaaaaaaaa hadi lak1 na kacd mnapanganaaaa?
- Kala jeremiah ndugu yangu naomba nikuambie kuwa sina sababu ya kudanganya ukitaka kuthibitisha njoo nikuonyeshe ilitumwa sangapi acha chuki zisizo na msingi bro siwez kudanganya ati masaa manane yaliyopita wakati siyo mimi nimesoma muda aliotuma picha jamaa ni masaaa manane yaliyopita kwa ule muda ambao nasoma so bro MUNGU akubariki sana
- Adams Dav Jr. Hakuna chuki ila ukweli ndo huo niliosema,na wali sina haja yakuja huko maana post umeweka fb..afu kumbuka si kila aliekua kwenye page yako ni easy 2 cheat bro....nakuonea huruma kumtaja Mungu kwenye uongo.ila pamoko
- Fredy Mesut we adams ni fala kama mafala wengine pimbi ww.chuki tu zimekujaa kip it up kala watabonga sana juu ya mafanikio yako
- Adams Dav Jr. Rudi shule ndugu,mtaa mbaya hadi unakosa fikra pevu nakuongea nonsense.khaa unajua sign ya fala?ebu nambie chuki yangu ije hapo kwa lipi hasa la maana?mwambie huyo unaem2kuza hawezi kudanganya umma,ila wachache ka wew 2
- Yawene Van Angelo we #Adams unaonekana ni mchelemchele peleka kiuno chako mbele hapa town jiangalie matko ww raia 2takuteka unaleta ubaro wako katka post za wa2 kama unachuki zako peleka kwenu,"WEKA BIFU NA ELA UCWEKE BIFU NA KAZI"
- Stanley Kilawe nazan tutakusahau muda sio mrefu umeshaingia kwenye siasa dar. umenza na lowasa badaye utahamia chadema amua moja mwanaharakati au kuwa mwanasiasa?
- Kala jeremiah mchana huu tutakutana na mshindi huyu na tutapiga nae picha na tutaweka hapa kwa page asanteni
- Venance Johny Maeda Dah! Kala achana nao hao wanaosema upo kwenye siasa hyo yote sabbu wamekosa pa kukukosoa na wamekosa cha kuongea haha upo juu sana bro!
- Tea Cake Daaah hyo dismas ndio mm sema nimebadili jina kwa sasa,haya huo mshiko wangu naupataje nikafanye laana uswaz?
- Francis Daudi Machievell pointed out,'revolution is nothing but violence' kamsome vizuri pia iron lady utaelewa gharama za siasa..! Lile la kumtetea ngoyai limekujengea heshima na dharau kubwa..!
- James Mika nakukubali ila kwa statement yako ya kuanza kuwafagilia mafisadi humu fb mashabiki wako wengi tumeanza kukuwekea alama hizi ? ? ? ? mwanaharakati anahitaji msimamo sio leo anasema moja kesho akiulizwa anasema mbili.
- Prince Rmich Michael thats good man fanya yako mkaka uscikilz ya wengn ci unajua watanzania bila mgom kwa wenzao haiwezkan. Ongera dismas n keep it up karaaee tundumisha uarakat pcha nn bwan lets cntinue fightng
- Greg Sondo K' tutafutane mkubwa, nmeshindwa kukuinbox, labda ni ushamba wangu au ni huu mtwanga pepeta nalo utumia,, imekua mda..
- Kabizi Abinery Antony But ndugu ya wanasiasa waachie wenyewe ndugu yangu utapoteza mashabiki wengi bt ni ushauri tu
- Baraka Paschal Kala J. Ur my frnd toka Bss 004 so leo umekuwa frnd wa mafrnds kama Tdx , Ezdeyn na mimi pia so nice man one love .
- David Elias Mabanza Namimi nitamwongezea albam yangu itakua poa sana na 50,000 naomba ani-inbox kumfanikishia
- Mayombo Majenga asante baba leo nisiku nyingine kwa kunikutanisha na huyu rafiki yangu mpendwa.ah! baba
- Jumanne Athumani Lukoba Ingekuwa pw kama kwel msela kAjchukulia tita hlo na lsiwe zengwe kama ahad za wa2 wengne! pmj xn mkubwa
- Reward Moshi Kala umetisha mzaz coz ume show lv na umeonesha jins gan uko karb na fans wako, much respect kwako. barikiwa
- Suzanah Elius ivi nyie mnao sema siasa mnaijua au kila mtu ana maoni yake na kitu anachokipenda mwacheni kuna siasa tz kama hupendwi hupendwi tu ata maoni ya mtu yaheshimiwe
- Brighton Luther umetisha ngosha its juc like nakufananisha na p square.keeping this way for ever bro
- Amani Zakayo Kaka umekuwa mwanasiasa nin mbona unapotea kaka amekupa sh ngap ukawauza mashabiki wako?kuwa mwanasiasa tujue moja.
- Faustine Maelele ujashangaa mbish kamasugu kuingia kwenye siasa ushangae mwanaharakat kama kala, mrisho mpoto je?
- Ibraheem Nassor Usha jiona bonge la Star sasa unataka kuingilia mambo ya kwenye siasa kaka....usha lewa sifa sasa kwa hivo vi Tuzo ulivo onewa huruma ukapewa!DONT TALK IF DONT KWN ANYTHING! Mtazamo 2
- Abduly Hassan kalla siasa ni mchezo mchafu kaa nao mbali waachie wenyewe kina docta...we kamua mziki....ukichanganya iv v2 viwil utapoteza mashabik wako maana wapo katika makundi tofauti kwenye siasa....
- Slim Misago Kala jibu uyo mheshimiwa ndo umeamua kumweka kabisa kwenye photo mhh nahamia kwa Romaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
0 MAONI :
Post a Comment