HUU UCHAWI JAMANII!!!..Mwana mke alikimbia hasubuhi kutoka kwenye nyumba ya Pedeshee baada ya kulala nae usiku kucha. baada yakufanya mambo yao usiku aliamka hasubuhi na kuruka ukuta nakutoka kwenye jumba la kifahari. akiwa uchi wa mnyama. na kuuzunguka mtaani huku akipiga puchu kana kwamba alikuwa akifanya mapenzi.
Kitugani kimewakuta wanawake wasikuizi wa nigeria!!!!!. Mambo yote wanayoyafanya hawa wasichana nahao Mapedeshee. wanafanya bila ya kujali pesa wamezipataje Mapedeshee!!!
Tukio kama hili lishawahi kutokea Miezi michache eliyopita Msichana mrembo alie tupwa barabarani akiwa na buu{chavichavi} katika sehemu zake za siri na alitumiwa na Mwanaume baada ya kukimbia na pesa zake
Akiwa ame wabong'olea masela masela wakitaka kumtia v******
Daah!! UCHAWI NOOMA RAFIKI YANGU WA DAMU TOA MAONI YAKO CHINI HAPA..
0 MAONI :
Post a Comment