Tangaza na Abd Da Hustler

Louis van Gaal yupo tayari kuondoka Man United ila kama wachezaji wataamua hivi …


Headlines za kocha wa Man United Louis van Gaal kuwa huenda taondoka klabu hapo zimekuwa zikichukua nafasi kila siku, kwani mashabiki wa timu hiyo hawana imani na uwezo wa kocha huyo tena, baadhi ya wachezaji wanahusishwa kuwa hawauelewi mfumo wa kocha huyo ukilinganisha na wakati ambao yupo Sir Alex Ferguson.
Stori za Van Gaal kuhusishwa kufukuzwa kazi zimekuwa zikiandikwa ila December 5 kabla ya mchezo kati ya Man United dhidi ya West Ham United Louis van Gaal katoa majibu ya kuhusu hatma yake ndani ya Man United. Van Gaal yupo radhi kuondoka Man United endapo tu wachezaji wataamua aondoke.
article-0-1FE4A7CC00000578-301_964x617
 “Mimi ndiye kocha wa kwanza ambaye huwa naachia ngazi na hilo linathibitisha kupitia klabu nilizofundisha pia kazi nilizozifanya, sidhani kama kuna kocha yeyote ambaye huwa anaondoka mwenyewe tu au sababu ya pesa, ila mimi nipo hivyo”>>> Van Gaal.
Share on Google Plus

About Unknown

Naitwa Abdalla Ngowi, Napenda Michezo na kukupa habari mbalimbali kutoka katika kila kona ya ulimwengu huu!, karibu ABD da Hustler
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 MAONI :

Post a Comment