tag:blogger.com,1999:blog-41494003582980691002024-03-14T00:38:30.675-07:00ABD da HustlerKwa Habari zote za Kijanja Kutoka Town. Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/14494605363960898835noreply@blogger.comBlogger847125tag:blogger.com,1999:blog-4149400358298069100.post-85348304139330500972017-01-14T07:44:00.001-08:002017-01-14T07:44:57.117-08:00New song Chacha ft Hemed - NibebeMsanii mpya anae chipukia kwa kasii hii ndiyo track yake ya kwanza kwahiyo anaomba mumsapoti hii track imerekodiwa AKINATO REKODI sikiliza na DOWNLOAD hapa asanteni<br />
<a href="https://3.bp.blogspot.com/-l3CArPKGPfg/WHpFKJP10uI/AAAAAAAACJM/TV20EcyfKFUJcBJ2hKRwY4BJa-U1ggnFgCLcB/s1600/abds.jpeg" imageanchor="1" ><img border="0" src="https://3.bp.blogspot.com/-l3CArPKGPfg/WHpFKJP10uI/AAAAAAAACJM/TV20EcyfKFUJcBJ2hKRwY4BJa-U1ggnFgCLcB/s320/abds.jpeg" width="320" height="115" /></a><br />
<iframe src="https://my.notjustok.com/track/embed/id/170620" width="100%" height="160px" frameborder="0"></iframe>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/14494605363960898835noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-4149400358298069100.post-88597172319325278132016-04-14T11:18:00.001-07:002016-04-14T11:18:53.591-07:00 VideoMPYA: Rayvanny anayofuraha kukuonyesha video yake mpya ‘Kwetu’<a href="https://2.bp.blogspot.com/-oRvCIKRWzx4/Vw_XcPGPc4I/AAAAAAAACGs/IoV2sE2U4YcUSaQusbr_xj179-k15EjqACLcB/s1600/cover.png" imageanchor="1" ><img border="0" src="https://2.bp.blogspot.com/-oRvCIKRWzx4/Vw_XcPGPc4I/AAAAAAAACGs/IoV2sE2U4YcUSaQusbr_xj179-k15EjqACLcB/s1600/cover.png" /></a><br />
Baada ya uongozi wa WCB kuchelewesha video ya Rayvanny kutokana na sababu ya kuchelewa kutumwa, tayari video imenifikia mtu wangu na imefanywa na director yule yule ambaye amefanya video kadhaa za Diamond Platnumz kama ‘Nana’ na nyingine Godfather.<br />
<iframe allowfullscreen="" frameborder="0" height="270" src="https://www.youtube.com/embed/2uiFXUMVq5w" width="480"></iframe><br />
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/14494605363960898835noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-4149400358298069100.post-23206657710594073092016-04-12T14:38:00.000-07:002016-04-12T14:38:00.131-07:00Jamaa ajinyonga kisa kikubwa mkewake...<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://2.bp.blogspot.com/-1mNA4LemkM4/Vw1ogzOTVYI/AAAAAAAACGU/OuRqMilmgcA96iPv3Bkff77LgujKREQOgCLcB/s1600/dvd.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://2.bp.blogspot.com/-1mNA4LemkM4/Vw1ogzOTVYI/AAAAAAAACGU/OuRqMilmgcA96iPv3Bkff77LgujKREQOgCLcB/s400/dvd.jpg" /></a></div>MAREHEMU DAUDI ALIPO JINYONGA<br />
JAMAA AJINYONGA: WANAWAKE HAWA: Daudi nifundi anaeziba pancha nakujaza upepo matairi ya magari maeneo ya Kurasini jijini dsm, alikuwa akiishi chamanzi na mkewe ambaye alimuoa ila alimkuta tayari kashazaa mtoto 1 ambaye sasa ana umri wa miaka kumi na minne. Daudi alibahatika kuzaanae mtoto mwengine huyo mwanamke sikuzote Daudi alikuwa akiangaika akijua anaangaikia familiya yake. Kumbe yule mwanamke aliludiana kimahusiano ya kimya kimya na mwanaume wake wazamani. Daudi aliweka pesa na mpk kununua kiwanja chake maeneo ya chanika sasa huyo mkewe akaambiwa na mwanaume wake aliyozaa nae mtoto wakwanza wamzurumu kiwanja hicho matokeo yake akafanikiwa . ikawa hadi familiya mwanamke inamchukia Daudi na kumpenda yule mwanaume aliye zaa nae mtoto wa kwanza huyo mwanamke.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://3.bp.blogspot.com/-zAIdqpC06u0/Vw1pS0i3EwI/AAAAAAAACGc/uI1_AFSDjzoqtRvjrm8Q9ZYvTtkJOYphgCLcB/s1600/DV.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://3.bp.blogspot.com/-zAIdqpC06u0/Vw1pS0i3EwI/AAAAAAAACGc/uI1_AFSDjzoqtRvjrm8Q9ZYvTtkJOYphgCLcB/s400/DV.jpg" /></a></div> Daudi AKAVUMILIA YOTE HAYO ALIKUWA AKIENDA KWAKE ANAMKUTA HUYO MWANAUME anafanya maboz na mkewe wake wa ndoa Daudi alikuwa analea watoto kwa hali yoyote na mkewe wapate kula sasa akawa anasikia kwa watu yakwamba hata huyo mtoto ulie zaanae mkeo sio wako Daudi akavumilia sasa Ikafika situ huyo mwanamke na wazazi wake na majirani walikuwa wengitu ila sio sanaa Daudi kaenda kwake kama kawaida kumuona mwanae kauli aliye ambiwa na mkewe na wakwe zake pia. mke: kwanza sikupendi na huyo mtoto sio wko huwezi kuzalisha na uwezi kuwa na mtoto kama huyu kazi yako kulea watoto wa mwenzako na mwenye mtoto wa kwanza ndiyo mwenye mtoto huyu pia nahivi karibuni anataka kunioa Daudi alitukanwa sanaa na kusimwngwa pamoja na wakwe zake ikabidi aondoke roho ikimuuma hadi kurasini kwa rafiki yake wakalibu: Akamwambia samehe vyote piga moyo konde uanze maisha mapya kumbe Daudi alikuwa anaya moyoni Asubuhi ya j3 talehe 11 mwezi wa 4 aliingia kazini kama kawaida nakufanya kazi kwa pamoja na wenzie ilivyo fika saa 10 jioni wenzie wako nje yeye yuko ndani ya office akachukua kamba nakujinyonga na kuiaga dunia: INALILAHI WAINA LILAHI RAJIUNI MUNGU ATAKULIPIA<br />
<br />
VIDEO HAPO CHINI WALIVYOKUWA WANATOA MWILI WA MAREHEMU DAUDI KUUPELEKA HOSPITAL<br />
<iframe allowfullscreen="" frameborder="0" height="270" src="https://www.youtube.com/embed/1HoKs2RkYQc" width="480"></iframe>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/14494605363960898835noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-4149400358298069100.post-81296868986094573372016-04-07T19:03:00.001-07:002016-04-07T19:03:26.243-07:00Mshike mshike wa Epl kuendelea kesho<a href="https://3.bp.blogspot.com/-HcLjSxsyVwI/VwcRUUiRa6I/AAAAAAAACGA/W28n4oX59Ts7Dtv4ANAG2a6CuDUvV0GiA/s1600/images.jpg" imageanchor="1" ><img border="0" src="https://3.bp.blogspot.com/-HcLjSxsyVwI/VwcRUUiRa6I/AAAAAAAACGA/W28n4oX59Ts7Dtv4ANAG2a6CuDUvV0GiA/s1600/images.jpg" /></a><br />
<br />
Nyasi za viwanja saba zitawaka moto katika mshike mshike wa ligi kuu ya England itayoendelea wikiendi hii.<br />
<br />
Wagonga wa nyundo wa London West ham, watakua wenye wa washika bunduki Arsenal, Aston Villa wanaoburuza mkia watakua nyumabni Villa Park kuwakabili Bournemouth.<br />
<br />
Matajiri wa Man City watashukuka katika uwanja wao wa Etihad kusaka alama tatu kwa kucheza na West Bromwich Albion, Huku Swansea wakikipiga na Chelsea mchezo utaochezwa katika dimba la Libert.<br />
<br />
Michezo itayochezwa hapo kesho ni<br />
<br />
Crystal Pale na Norwich<br />
<br />
Southampton na Newcastle<br />
<br />
Watford na EvertonAnonymoushttp://www.blogger.com/profile/14494605363960898835noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-4149400358298069100.post-64212222832506392342016-04-07T10:34:00.002-07:002016-04-07T10:34:45.482-07:00Boko Haram 800 wajisalimisha Nigeria<a href="https://1.bp.blogspot.com/-UawnZgRHh38/VwaZfpS7ZNI/AAAAAAAACFg/qWMcyC2JsjcbTbDia4MjXWnU2Rz7QeQ1g/s1600/b1.jpg" imageanchor="1" ><img border="0" src="https://1.bp.blogspot.com/-UawnZgRHh38/VwaZfpS7ZNI/AAAAAAAACFg/qWMcyC2JsjcbTbDia4MjXWnU2Rz7QeQ1g/s1600/b1.jpg" /></a><br />
Wapiganaji 800 wa kundi la wanamgambo wa kiislamu wa Boko Haram wamejisalimisha kwa Jeshi la Nigeria.<br />
<br />
Wapiganaji 800 wa kundi la wanamgambo wa kiislamu wa Boko Haram wamejisalimisha kwa jeshi la Nigeria.<br />
<br />
Hatua hiyo inafuatia mpango mahsusi wa 'Operation Safe Corridor' unaolenga kuwapokea wapiganaji wa kundi hilo la kigaidi ambalo limesababisha vifo vya maelfu ya raia wa Nigeria.<br />
<br />
Chini ya mpango huo wapiganaji wanaojisalimisha wanachukuliwa na kufunzwa upya njia mbadala ya kujitafutia riziki.<br />
<br />
<a href="https://2.bp.blogspot.com/-tkJdOeRlRRs/VwaZqTWJMDI/AAAAAAAACFk/KVbJ5N-WI1s6QXKRmNI107OGrU-jlvlkQ/s1600/b2.jpg" imageanchor="1" ><img border="0" src="https://2.bp.blogspot.com/-tkJdOeRlRRs/VwaZqTWJMDI/AAAAAAAACFk/KVbJ5N-WI1s6QXKRmNI107OGrU-jlvlkQ/s1600/b2.jpg" /></a><br />
Msemaji wa jeshi amesema kuwa wanania ya kuwasamehe wapiganaji wa Boko Haram watakaotubu makosa yao.<br />
<br />
Msemaji wa jeshi amesema kuwa wanania ya kuwasamehe wapiganaji wa Boko Haram watakaotubu makosa yao.<br />
<br />
Kwa sasa wamewekwa kwenye makazi maalum ambapo wanaendelea kupata mafunzo ya msimamo wastani wa kidini.<br />
<br />
<a href="https://3.bp.blogspot.com/-qO5ZGzWyc4k/VwaZ6XyhO7I/AAAAAAAACFo/_MJcKWXKYjco46ifFuwR1UQSvEVD023zQ/s1600/b3.jpg" imageanchor="1" ><img border="0" src="https://3.bp.blogspot.com/-qO5ZGzWyc4k/VwaZ6XyhO7I/AAAAAAAACFo/_MJcKWXKYjco46ifFuwR1UQSvEVD023zQ/s1600/b3.jpg" /></a><br />
Wakaazi milioni moja wanaishi katika kambi za wakimbizi wa ndani kwa ndani<br />
<br />
Baadaye watafunzwa mbinu mpya za kujitafutia riziki kabla ya kupewa mtaji wa kuanza upya maisha yao.<br />
<br />
Hata hivyo kuna hofu iwapo jamii itakuwa tayari kuwapokea wapiganaji waliotekeleza maasi dhidi yao.<br />
<br />
<a href="https://4.bp.blogspot.com/-zkTbTBI4EbQ/VwaaEgE8FxI/AAAAAAAACFs/It3BbssxFxcv38yVHMzmPqR6zBgmfblKQ/s1600/b4.jpg" imageanchor="1" ><img border="0" src="https://4.bp.blogspot.com/-zkTbTBI4EbQ/VwaaEgE8FxI/AAAAAAAACFs/It3BbssxFxcv38yVHMzmPqR6zBgmfblKQ/s1600/b4.jpg" /></a><br />
Zaidi ya watu 10,000 waliuawa huku takriban wakaazi milioni moja wakitoroka makwao tangu uasi huo uanze yapata miaka 7 iliyopita.<br />
<br />
Wahanga wa maasi yao ndio wanaotarajiwa kuwa na wakati mgumu zaidi kuwapokea ama hata kuwasamehe wapiganaji hao wa zamani.<br />
<br />
Eneo la Kaskazini Mashariki mwa Nigeria ndilo lililoathirika sana na mashambulizi ya Boko Haram.<br />
<br />
Zaidi ya watu 10,000 waliuawa huku takriban wakaazi milioni moja wakitoroka makwao tangu uasi huo uanze yapata miaka 7 iliyopita.Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/14494605363960898835noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-4149400358298069100.post-82400128213306910742016-04-07T10:20:00.001-07:002016-04-07T10:20:53.274-07:00Kenya na Tanzania zashuka orodha ya Fifa<a href="https://1.bp.blogspot.com/-qAZVoxTJV40/VwaUNb7HlKI/AAAAAAAACFM/qsNdya3TzQ4ChxKNO2-F8XPdJ1gxC5lPw/s1600/tanza.jpg" imageanchor="1" ><img border="0" src="https://1.bp.blogspot.com/-qAZVoxTJV40/VwaUNb7HlKI/AAAAAAAACFM/qsNdya3TzQ4ChxKNO2-F8XPdJ1gxC5lPw/s1600/tanza.jpg" /></a><br />
Wachezaji wa Taifa Stars ya Tanzania<br />
<br />
Kenya imeshuka hatua 12 nayo Tanzania ikashuka hatua 5 kwenye orodha ya viwango vya ubora wa soka ya Fifa iliyotolewa leo.<br />
<br />
Kenya kwa sasa wamo nambari 115 nao Tanzania nambari 130.<br />
<br />
Harambee Stars wameshuka baada ya kushindwa mechi mbili za kufuzu kwa Kombe la Mataifa Bingwa Afrika na Guinea Bissau.<br />
<br />
Taifa hilo la Afrika Magharibi limepanda hatua 45 hadi nambari 102.<br />
<br />
Guinea Bissau waliichapa Kenya 1-0 mechi ya kwanza tarehe 23 Machi na kwenye mechi ya marudiano wakashinda tena 1-0 jijini Nairobi.<br />
<br />
<a href="https://1.bp.blogspot.com/-UlBbDemG3B0/VwaUudSmNmI/AAAAAAAACFQ/Wa18iTglWpU-aV7bV4rqei5tVUhO5eMLA/s1600/harambee.jpg" imageanchor="1" ><img border="0" src="https://1.bp.blogspot.com/-UlBbDemG3B0/VwaUudSmNmI/AAAAAAAACFQ/Wa18iTglWpU-aV7bV4rqei5tVUhO5eMLA/s1600/harambee.jpg" /></a><br />
Mchezaji wa Harambee Stars kwenye mechi ya awali<br />
<br />
Tanzania hawajahesabiwa mechi yoyote ya karibuni. Walishinda 1-0 dhidi ya Chad mechi ya kwanza ugenini lakini Chad wakajiondoa na hawakushiriki mechi ya marudiano jijini Dar es Salaam. CAF ilifuta matokeo hayo dhidi ya Chad katika kundi G.<br />
<br />
CAF: Chad yajiondoa, Tanzania mashakani<br />
<br />
Miongoni mwa mataifa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Uganda inaongoza ikiwa nambari 72, Rwanda inafuata nambari 87, Kenya nambari 115, Burundi nambari 122, Tanzania nambari 130 na Sudan Kusini nambari 155.<br />
<br />
Orodha ya mataifa kumi bora Afrika ni kama ifuatavyo:<br />
<br />
1. Algeria<br />
<br />
2. Ivory Coast<br />
<br />
3. Ghana<br />
<br />
4. Senegal<br />
<br />
5. Misri<br />
<br />
6. Cape Verde<br />
<br />
7. Tunisia<br />
<br />
8. Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo<br />
<br />
9. Guinea<br />
<br />
10. Congo<br />
<br />
<br />
Duniani, orodha ya kumi bora ni kama ifuatavyo:<br />
<br />
1. Argentina<br />
2. Ubelgiji<br />
3. Chile<br />
4. Colombia<br />
5. Ujerumani<br />
6. Uhispania<br />
7. Brazil<br />
8. Ureno<br />
9. Uruguay<br />
10. England<br />
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/14494605363960898835noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-4149400358298069100.post-71348918276879529942016-04-07T10:02:00.002-07:002016-04-07T10:02:41.700-07:00Mwanafunzi wa kiume anayepata ''hedhi''<a href="https://4.bp.blogspot.com/-a7c0OIrFdCQ/VwaSOBlwjFI/AAAAAAAACE8/DrpHuui7AM03hpuIjKXcIXsk415pUjHiA/s1600/g.jpg" imageanchor="1" ><img border="0" src="https://4.bp.blogspot.com/-a7c0OIrFdCQ/VwaSOBlwjFI/AAAAAAAACE8/DrpHuui7AM03hpuIjKXcIXsk415pUjHiA/s1600/g.jpg" /></a><br />
George na Amber May Ellis<br />
<br />
George Fellowes ni mwanafunzi wa chuo kikuu mwenye umri wa miaka 22 na anaamni kwamba hata yeye hupatwa na ''hedhi ya kiume''.<br />
<br />
Anasema kuwa ni rafiki wa karibu wa Amber May Ellis jirani yake na hivyobasi hupata uchungu wa hedhi kila mwezi rafikiye anapopata hedhi.<br />
<br />
Uchungu huo anasema huwa mkali hadi kulazimika kuchukua likizo ya kuwa mgonjwa.Akizungumza na Newsbeat,George anaelezea:Nadhani ni swala la kifikra kwa sababu sisi ni marafiki wa karibu sana na tuna hisia sawa.<br />
<br />
Katika kipindi cha miaka mitatu iliopita anasema kuwa amekuwa akipata uchungu wa hedhi na ishara hizo ni sawa na zile za wanawake.<br />
<br />
Ninapata uchungu chini ya tumbo langu pamoja na katika kinena.Huwa nahisi vibaya na kuwa na hasira na marafiki wangu wengi.Pia huwa na hisia zenye mhemuko.<br />
<br />
''Huwa sipendi kulia wakati huo lakini huwa na hasira nyingi.Kuna kitu kimoja kisichomuathiri George hatahivyo.<br />
<br />
Sidhani kwamba wanaume wanaweza kupata hedhi bila kutokwa na damu'',anasema.<br />
<br />
''Wakati unapokuwa rafiki wa karibu na mtu nadhani homoni zenu hufanana''.<br />
<br />
<a href="https://4.bp.blogspot.com/-r_TTQMRyKmA/VwaSk0keVGI/AAAAAAAACFA/PMdgzLG71xA2rtxfwcJgWPvlxnHadpHYQ/s1600/g2.jpg" imageanchor="1" ><img border="0" src="https://4.bp.blogspot.com/-r_TTQMRyKmA/VwaSk0keVGI/AAAAAAAACFA/PMdgzLG71xA2rtxfwcJgWPvlxnHadpHYQ/s1600/g2.jpg" /></a><br />
George na Amber May Ellis<br />
<br />
George anaelezea kwamba wakati alipoanza kupata uchungu miaka mitatu iliopita alitaka ushauri wa daktari wake.<br />
<br />
Lakini hakukuwa na maelezo hivyobasi alipewa dawa za kumaliza maumivu ya kinena.Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/14494605363960898835noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-4149400358298069100.post-54470646309733915942016-04-07T09:45:00.000-07:002016-04-07T09:45:05.421-07:00Uliiona picha ya Diamond Platnumz kutoboa pua?! ukweli ninao hapa<a href="https://1.bp.blogspot.com/-RMvMjOVh9e0/VwaNit3Zy7I/AAAAAAAACEk/EEFPIBYMVxkFHxnFfY1-WaoBjOz_7tRQw/s1600/Diamond.jpg" imageanchor="1" ><img border="0" src="https://1.bp.blogspot.com/-RMvMjOVh9e0/VwaNit3Zy7I/AAAAAAAACEk/EEFPIBYMVxkFHxnFfY1-WaoBjOz_7tRQw/s1600/Diamond.jpg" /></a><br />
<br />
Kwa saa kadhaa zimeenea taarifa za mwimbaji staa wa bongofleva Diamond Platnumz kuonekana katoboa pua, hii habari imepewa nguvu kutokana na picha aliyoipost Diamond mwenyewe kwenye Instagram akionekana katoboa pua.<br />
<br />
Ukweli ukoje? …ukweli ni kwamba Diamond hajatoboa pua kama wengi walivyodhani ambapo Meneja wake aitwae Sallam aliwajibu hivi mashabiki walioanza kuuliza >>> ‘Usiamini kila unachoona kwenye picha au unachoambiwa, mlikuwa mmelala sana amewaamsha kidogo’<br />
<br />
<a href="https://4.bp.blogspot.com/-abJ8-A55Lxw/VwaNy67nWqI/AAAAAAAACEo/7gqMMd0CB6MMHAJ5FC7jO7uXieq_UX0ZQ/s1600/SK.jpg" imageanchor="1" ><img border="0" src="https://4.bp.blogspot.com/-abJ8-A55Lxw/VwaNy67nWqI/AAAAAAAACEo/7gqMMd0CB6MMHAJ5FC7jO7uXieq_UX0ZQ/s1600/SK.jpg" /></a><br />
<br />
Maneno ya Meneja Sallam yanamaanisha kwamba sio kweli Diamond katoboa pua, ni mchezo tu na baada ya hiyo picha ya kutoboa pua Diamond aliweka picha nyingine inayoonekana hapa chini akiwa fresh kabisa watu wasiendelee kupanic.<a href="https://3.bp.blogspot.com/-uYc07U-NwwE/VwaOHayhQYI/AAAAAAAACEw/qLnMQxGQkSMBgxkJrGNKK-tqxJGEQhjRA/s1600/Diamond-2.jpg" imageanchor="1" ><img border="0" src="https://3.bp.blogspot.com/-uYc07U-NwwE/VwaOHayhQYI/AAAAAAAACEw/qLnMQxGQkSMBgxkJrGNKK-tqxJGEQhjRA/s1600/Diamond-2.jpg" /></a><br />
<br />
ULIIKOSA SHOW YA DIAMOND ILIYOVUNJA REKODI YA MR NICE MAREKANI? ITAZAME HAPA CHINI<br />
<iframe allowfullscreen="" frameborder="0" height="270" src="https://www.youtube.com/embed/YbQWlD8ZUbU" width="480"></iframe>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/14494605363960898835noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-4149400358298069100.post-43427865410300138072016-04-06T08:29:00.001-07:002016-04-06T08:37:32.553-07:00Audio: Je waijua siri ya mafanikio ya mwanamuziki wa kizazi kipya Vanessa Mdee<a href="https://1.bp.blogspot.com/-vIojGhqmfVk/VwUqhdsoW5I/AAAAAAAACEU/j4Hs1zqjxrIzFx9gb4rAaQ9s8cgrkufpw/s1600/vns.jpg" imageanchor="1" ><img border="0" src="https://1.bp.blogspot.com/-vIojGhqmfVk/VwUqhdsoW5I/AAAAAAAACEU/j4Hs1zqjxrIzFx9gb4rAaQ9s8cgrkufpw/s320/vns.jpg" /></a><br />
<br />
<iframe width="250" height="300" frameborder="0" src="http://www.bbc.com/swahili/medianuai/2016/04/160406_canessa_mdee/embed"></iframe><br />
Je waua siri ya mafanikio ya mwanamuziki wa kizazi kipya Vanessa Mdee,ambaye amepata mafanikio baada ya kujizolea tuzo kadhaa za kimataifa?.Yeye ijanasema muziki ni safari,kama alivyozungumzana na Mwandishi wa BBC Leonard Mubali ambapo anaeleza alikotoka na aendako katika safari yake kimuzikiAnonymoushttp://www.blogger.com/profile/14494605363960898835noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-4149400358298069100.post-74698736852136088802016-04-06T07:11:00.002-07:002016-04-06T07:13:26.715-07:00Moyo wa nguruwe wapandikizwa kwa nyani<a href="https://1.bp.blogspot.com/-cgr7PvqEmKE/VwUYzlK-wwI/AAAAAAAACEE/o-gCZQ7deSYQqtTjIw7O5qrgQb4bT8kTg/s1600/moyo.jpg" imageanchor="1" ><img border="0" src="https://1.bp.blogspot.com/-cgr7PvqEmKE/VwUYzlK-wwI/AAAAAAAACEE/o-gCZQ7deSYQqtTjIw7O5qrgQb4bT8kTg/s1600/moyo.jpg" /></a><br />
Upandikizaji wa moyo wa nguruwe kwa nyani<br />
<br />
Wanasayansi wanasema kuwa wameuweka moyo wa nguruwe katika nyani kwa zaidi ya miaka miwili.<br />
<br />
Matokeo yake yanaweza kupiga jeki matumaini ya upandikizaji wa viungo vya wanyama katika binaadamu huku kukiwa kuna upungufu wa binadamu wanaotoa viungo vyao.<br />
<br />
Upandikazi wa viumbe tofauti husababisha mmenyuko wa kinga na kusababisha kukataliwa kwa kiungo hicho na mwili unaofanyiwa upasuaji huo.<br />
<br />
Lakini wanasayansi kutoka Marekani na Ujerumani walitumia muundo wa jeni pamoja na dawa zinazopunguza kinga.<br />
<br />
Kazi yao imeelezea katika jarida la mawasiliano ya kiasilia.<br />
<br />
Ni muhimu kwa sababu inaleta uwezekano wa kutumia viungo hivyo kwa binaadamu,kulingana na mwandishi mwenza Muhammad Mohiuddin,kutoka kwa taasisi ya kitaifa ya Moyo ,Pafu na Damu huko Maryland,alikiambia chombo cha habari cha AFP.<br />
<br />
Upandikizaji wa kutumia viumbe tofauti unaweza kuokoa maisha ya wengi kila mwaka ambayo hupotezwa kutokana na ukosefu wa viungo vya binaadamu kwa upandikAnonymoushttp://www.blogger.com/profile/14494605363960898835noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-4149400358298069100.post-63370140303844551762016-04-06T06:31:00.001-07:002016-04-06T06:31:51.607-07:00Kwa wanaosubiri mchezo wa Yanga Vs Al Ahly ya Misri, kuna taarifa mpya hapaUongozi wa klabu ya Dar Es Salaam Young Africans leo April 6 kupitia kwa afisa habari wake Jerry Muro ameongea na vyombo vya habari na kuelezea taarifa za mchezo wao wa klabu Bingwa barani Afrika dhidi ya Al Ahly ya Misri utakaochezwa April 9 2016 uwanja wa Taifa Dar Es Salaam.<br />
<br />
Jerry amethibitisha Al Ahly kuwasili Dar Es Salaam alfajiri ya leo, pamoja na CAF kutoa majina ya waamuzi wa mchezo huo ambao wanatoka Ivory Coast Denis Dembele, Mauris Donatien, Moussa Bayere, Tangba Kambou lakini kamisaa wa mchezo Celestine Ntangungira anatokea Rwanda.<br />
<a href="https://4.bp.blogspot.com/-beW-LzYk1I8/VwUPDwJyV9I/AAAAAAAACD0/0AzmpU-T8KQKJmyMrTGw0TVTRH6n_cgLA/s1600/muro.jpg" imageanchor="1" ><img border="0" src="https://4.bp.blogspot.com/-beW-LzYk1I8/VwUPDwJyV9I/AAAAAAAACD0/0AzmpU-T8KQKJmyMrTGw0TVTRH6n_cgLA/s1600/muro.jpg" /></a><br />
Jerry Muro<br />
<br />
Hadi sasa Yanga mechi zao zilizopita za klabu Bingwa Afrika waligoma zisioneshwe kwenye TV ” Kwa sasa viongozi wanafanya utaratibu wa kuangalia namna ambavyo tunaweza kuruhusu TV kuonesha mchezo huo, lakini watu wajue tutaruhusu matangazo ya TV yarushwe mikoani kasoro Dar na Pwania ndio maana tumeweka kiingilio cha chini elfu tano” >>> Jerry Muro<br />
<br />
KAMA ULIKOSA KUTAZAMA VIDEO YA MAGOLI YA YANGA VS KAGERA SUGAR APRIL 3 2016<br />
<iframe width="560" height="315" src="https://www.youtube.com/embed/PSMZgwXtLmM" frameborder="0" allowfullscreen></iframe>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/14494605363960898835noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-4149400358298069100.post-88152887245054613082016-04-06T06:21:00.001-07:002016-04-06T06:44:20.750-07:00Kauli ya Simba kuhusu golikipa wao kufungiwa miaka 10 kucheza soka na TFFBado headlines za uongozi wa klabu ya Simba kuendelea kueleza hisia zao za kutofurahishwa na shirikisho la soka Tanzania TFF na bodi ya Ligi jinsi wanavyopanga ratiba ya Ligi Kuu Tanzania bara na kuibadili kila siku, mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa Simba Haji Manara ameongea jipya.<br />
<br />
Manara anaamini na anaomba ili haki itendeke ni bora TAKUKURU wakachunguze masuala ya rushwa kwa tuhuma za upangaji wa matokeo ya mechi za Ligi daraja la kwanza, ambazo zinaigusa klabu yao kutokana na golikipa wao Denis Richard aliyekuwa kwa mkopo Geita Gold kufungiwa miaka 10 na kupigwa faini milioni 10.<br />
<br />
<a href="https://4.bp.blogspot.com/-PUzxa5zIcQA/VwUNFLSYKAI/AAAAAAAACDo/ZXdFE_x8GI0VRJqSgvVc4WsY-lcCRpvpA/s1600/hj.jpg" imageanchor="1" ><img border="0" src="https://4.bp.blogspot.com/-PUzxa5zIcQA/VwUNFLSYKAI/AAAAAAAACDo/ZXdFE_x8GI0VRJqSgvVc4WsY-lcCRpvpA/s320/hj.jpg" /></a><br />
Bado headlines za uongozi wa klabu ya Simba kuendelea kueleza hisia zao za kutofurahishwa na shirikisho la soka Tanzania TFF na bodi ya Ligi jinsi wanavyopanga ratiba ya Ligi Kuu Tanzania bara na kuibadili kila siku, mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa Simba Haji Manara ameongea jipya.<br />
<br />
Manara anaamini na anaomba ili haki itendeke ni bora TAKUKURU wakachunguze masuala ya rushwa kwa tuhuma za upangaji wa matokeo ya mechi za Ligi daraja la kwanza, ambazo zinaigusa klabu yao kutokana na golikipa wao Denis Richard aliyekuwa kwa mkopo Geita Gold kufungiwa miaka 10 na kupigwa faini milioni 10.<br />
<br />
KAMA ULIIKOSA VIDEO YA MAGOLI YA SIMBA VS COASTAL UNION MARCH 19 2016<br />
<iframe allowfullscreen="" frameborder="0" height="270" src="https://www.youtube.com/embed/6luJvgDA63g" width="480"></iframe>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/14494605363960898835noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-4149400358298069100.post-20884774016365609012016-04-06T03:08:00.001-07:002016-04-06T03:08:32.448-07:00Uadilifu wa rais mpya wa Fifa watiliwa Shaka<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://4.bp.blogspot.com/-hBJiBlaiZDs/VwTftgOxjdI/AAAAAAAACDQ/_GWAewVM9PYvp-gTAdcbvVR06iWL4iHXA/s1600/160406050550_gianni_infantino_fifa_640x360_getty_nocredit.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://4.bp.blogspot.com/-hBJiBlaiZDs/VwTftgOxjdI/AAAAAAAACDQ/_GWAewVM9PYvp-gTAdcbvVR06iWL4iHXA/s1600/160406050550_gianni_infantino_fifa_640x360_getty_nocredit.jpg" /></a></div>Gianni Infantino<br />
<br />
Rais mpya wa shirikisho la soka duniani Fifa,Gianni Infantino alisaini kandarasi na wafanyibiashara wawili ambao wanatuhumiwa na kutoa hongo,kulingana na stakhabadhi zilizofichuliwa.<br />
<br />
Hugo na Mariano Jinkis walinunua haki za maonyesho ya moja kwa moja ya mechi za kombe la vilabu bingwa runingani na kuziuza mara tatu ya bei waliyonunua.<br />
<br />
Kandarasi hiyo ya mwaka 2006 ilitiwa saini na Infantino alipokuwa mkurugenzi wa Uefa.<br />
<br />
Ni miongoni mwa stakhabadhi milioni 11 zilizofichuliwa katika kampuni ya mawakili nchini Panama Mossack Fonseca.<br />
<br />
Awali Uefa ilikana kufanya biashara na mtu yeyote miongoni mwa watu 14 walioshtakiwa na shirika la FBI katika uchunguzi wake wa ufisadi katika soka duniani.<br />
<br />
Sasa imeambia BBC kwamba haki za runinga ziliuzwa kwa mtu aliyezitaka haki hizo kwa kiwango cha juu katika zabuni iliofanywa kwa uwazi.<br />
<br />
Duru kutoka kwa afisa mkuu wa Fifa ambaye jina lake halikutajwa zimeambia BBC kwamba zabuni hiyo lazima ichunguzwe na kamati ya maadili ya Fifa kwa maslahi ya uwazi.<br />
<br />
Infantino ambaye alichaguliwa rais wa shirikisho la Fifa tarehe 26 mwezi Februari ametoa taarifa akisema kuwa anasikitika kwamba uadilfu wake unatiliwa shaka.Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/14494605363960898835noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-4149400358298069100.post-76134530568342764762016-04-06T02:50:00.000-07:002016-04-06T02:50:06.447-07:00Iran, Pakistan na Saudia zaongoza kwa kunyonga<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://1.bp.blogspot.com/-nD91fpIQjvc/VwTaVqgfvlI/AAAAAAAACC0/CYXCkpe6eWkIXEGqyGIP8mvKSNkWkOKPg/s1600/160224022251_amnesty_international_report_640x360_afp_nocredit.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://1.bp.blogspot.com/-nD91fpIQjvc/VwTaVqgfvlI/AAAAAAAACC0/CYXCkpe6eWkIXEGqyGIP8mvKSNkWkOKPg/s400/160224022251_amnesty_international_report_640x360_afp_nocredit.jpg" /></a></div>Ongezeko la idadi ya watu wanaonyongwa ulimwenguni lilisababisha watu zaidi kuuawa kwa njia hiyo mwaka uliopita ikilinganishwa na kipindi chochote tangu mwaka 1989,shirika la haki za kibibaadamu la Amnesty International limesema.<br />
<br />
Takriban watu 1634 walinyongwa mwaka 2015,ikiwa ni ongezeko la asilimia 50 ikilinganishwa na mwaka uliopita.<br />
<br />
Iran,Pakistan na Saudia Arabia walihusika na asilimia 89 ya watu wote walionyongwa duniani.<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://4.bp.blogspot.com/-yrG2-Wt8yVw/VwTatypJWlI/AAAAAAAACC4/U3bcVQ8SO6EmlgjKh47lEqEJLGGIsr55g/s1600/pingu.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://4.bp.blogspot.com/-yrG2-Wt8yVw/VwTatypJWlI/AAAAAAAACC4/U3bcVQ8SO6EmlgjKh47lEqEJLGGIsr55g/s400/pingu.jpg" /></a></div>Amnesty International<br />
<br />
Jumla hiyo haishirikishi China ambapo Amnesty International imesema kuwa maelfu zaidi waliuawa lakini rekodi zake zikafichwa.<br />
<br />
Kwa upande mwengine,kundi hilo limesema kuwa kwa mara ya kwanza mataifa mengi duniani yalifutilia mbali hukumu ya kunyonga.<br />
<br />
Mataifa ya Fiji,Madagascar ,Congo Brazaville na Suriname yalibadilisha sheria zao mwaka 2015,huku Mongolia ikipitisha sheria mpya itakayoanza kutekelezwa baadaye mwaka huu.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://3.bp.blogspot.com/-odUmoaAbfco/VwTbUryDPHI/AAAAAAAACDA/FFR093X50R4Tg47HfhN7k1XIVtQEmY0EA/s1600/china.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://3.bp.blogspot.com/-odUmoaAbfco/VwTbUryDPHI/AAAAAAAACDA/FFR093X50R4Tg47HfhN7k1XIVtQEmY0EA/s400/china.jpg" /></a></div>Vifaa vinavyotumiwa na serikali ya China kuwashinikiza watu kukubali makosa<br />
<br />
Amnesty imesema kuwa China bado inaongoza miongoni mwa mataifa yanayonyonga watu.Inakadiriwa kwamba maelfu ya watu walinyongwa huku maelfu ya wengine wakipewa hukumu ya kunyongwa mwaka 2015.Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/14494605363960898835noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-4149400358298069100.post-68244992789278308382016-04-05T11:25:00.001-07:002016-04-05T11:34:28.936-07:00New Audio: Run D ft Sheby Medicine - HAWAWEZI SIKILIZA na DOWNLOAD HAPA...Ni harakati zinaendelea kwenye Game ya Hip Hop sikiliza na pakua ngoma hapo chini kisha tupe Comment zako usisahau kushare mtuwangu.<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://3.bp.blogspot.com/-rKVSKuSAUks/VwQAFVMTShI/AAAAAAAACCk/TELl3at_JWICjzN35_0Sp8PrbkAOLmvLg/s1600/MC.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://3.bp.blogspot.com/-rKVSKuSAUks/VwQAFVMTShI/AAAAAAAACCk/TELl3at_JWICjzN35_0Sp8PrbkAOLmvLg/s640/MC.jpg" /></a></div><iframe src="https://my.notjustok.com/track/embed/id/81135" width="100%" height="160px" frameborder="0"></iframe>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/14494605363960898835noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-4149400358298069100.post-13945561622603839402016-04-04T23:09:00.001-07:002016-04-04T23:09:54.448-07:00AUDIO: Kesi imemgeukia Lyatonga Mrema, anatakiwa kulipa MILIONI 40 kabla ya tarehe 5 June<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://1.bp.blogspot.com/-4TsqrIy_Emw/VwNUlbLVoqI/AAAAAAAACCU/ssmc3GUP2a8leKX2lgffOQVEl17UkLuDw/s1600/Mbatia-3-1.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://1.bp.blogspot.com/-4TsqrIy_Emw/VwNUlbLVoqI/AAAAAAAACCU/ssmc3GUP2a8leKX2lgffOQVEl17UkLuDw/s640/Mbatia-3-1.jpg" /></a></div><br />
Kesi ya Lyatonga Mrema kupinga ushindi wa Ubunge wa James Mbatia jimbo la Vunjo ilikua Mahakamani tena April 4 2016 ambapo jipya lililotangazwa ni kwamba Mahakama kuu kanda ya Moshi imeridhia makubaliano yaliyofikiwa kati ya Mbunge wa Vunjo James Mbatia na Agustino Mrema kwa shauri hilo kuisha na kwamba Mbatia ndiye Mbunge halali wa Vunjo na Mrema atatakiwa kulipa sehemu ya gharama za mawakili wa Mbatia shilingi Milioni 40.<br />
<br />
Unaweza kumsikiliza James Mbatia hapa chini akichanganua ishu ya hizo Milioni 40 japo yeye amemsamehe Mrema.<br />
<iframe allowfullscreen="" frameborder="0" height="270" src="https://www.youtube.com/embed/h9Zd3W0r5-I" width="480"></iframe>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/14494605363960898835noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-4149400358298069100.post-7060565550445035372016-04-04T22:43:00.002-07:002016-04-04T22:43:41.116-07:00HABARI NZURI TZ: Mchezaji wa Tanzania mwenye dili jipya la kuvalishwa viatu na kampuni ya PUMA<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://2.bp.blogspot.com/-QGRWQtrpRGc/VwNPNWIyrsI/AAAAAAAACB8/ZNB6HEJiIyIdHqDNqPGTKEAZmJ0AEJ9WQ/s1600/puma-5.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://2.bp.blogspot.com/-QGRWQtrpRGc/VwNPNWIyrsI/AAAAAAAACB8/ZNB6HEJiIyIdHqDNqPGTKEAZmJ0AEJ9WQ/s400/puma-5.jpg" /></a></div>Soka la Tanzania linazidi kusogea na kuzipiga hatua za kimaendeleo na mastaa wake nao wanagonga vichwa vya habari kila kukicha, sasa hivi kiungo Azam FC na timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars anakaribia kuingia mkataba na kampuni ya vifaa vya michezo ya Ujerumani utakaomuwezesha kupata vifaa vya michezo bure kutoka kampuni hiyo.<br />
<br />
“Puma walikuwa wananifuatilia wanataka kunidhamini baada ya kuongea na wakala wangu, tutaingia mkataba wa kunidhamini kwa vifaa vya michezo hususani viatu, nilivyokuwa timu ya taifa Samatta alinishauri nikubali kudhaminiwa na PUMA na ni baada ya mimi kumuuliza” >>> Farid Musa.<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://4.bp.blogspot.com/-sYhyACk1PMo/VwNPhc_RoCI/AAAAAAAACCA/8Y5CIQi8pFokflEIxgs1s6WDPABi96kJQ/s1600/Azam-vs-Mtibwa-6.png" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://4.bp.blogspot.com/-sYhyACk1PMo/VwNPhc_RoCI/AAAAAAAACCA/8Y5CIQi8pFokflEIxgs1s6WDPABi96kJQ/s400/Azam-vs-Mtibwa-6.png" /></a></div>Farid Musa mwenye mpira kulia<br />
<br />
“Lakini kuna vitu pia Samatta kanishauri niwaambie viwemo kwenye mkataba, niliongea na bosi Yusuph kuhusu mpango huo akaunga mkono, kwa sasa bado nachipukia kuhusu kufaidika bado sijajua sana ila mimi malipo yangu itakuwa nikupewa vifaa na mimi kuvivaa nikiwatangaza, nikienda Ulaya ndio nitaanza kulipwa” >>> Farid<br />
<br />
Farid tayari ameridhishwa na viatu vya Puma na kuvisifia viatu kama SL Boot na Evo Speed Faster kuwa ni vyepesi, kama huwa upo karibu na stori za sports, Puma wamekua wakifanya kazi na mastaa wa soka duniani na waliwahi kuingia mkataba wa pound milioni 5 wa kumdhamini mshambuliaji wa kimataifa wa Argentina anayeichezea klabu ya Manchester City Sergio Aguero.<br />
<iframe allowfullscreen="" frameborder="0" height="270" src="https://www.youtube.com/embed/JBZ0VFrZVCY" width="480"></iframe>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/14494605363960898835noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-4149400358298069100.post-1090913215701704492016-04-04T21:43:00.000-07:002016-04-04T21:54:11.520-07:00GOOD NEWS: kWA WAKAZI WA KURASINI MWIZI MAARAFU MKABAJI KIBWANA AFARIKI DUNIA BAADA YAKUPIGWA NA WANANCHIMBWANA a.k.a. KIBWANA afariki dunia alfajiri ya kuamkia tarehe 5 nimtaalamu wakuiba kukaba na kuua ebwanaee mtaani wtu wana fanya sherehe kufa kwa huyu jamaa hatari nimtu wapili aliye waogopesha wananchi wengi baada ya marehemu Jongo kuwa mbabe walimfanyia kamahivi sasa leo wapo kwenye moto wa jahanamu KWAHERI KIBWANA <br />
<br />
hapo chini nimeweka baadhi ya picha zake.<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://3.bp.blogspot.com/-bQvsuSnOp34/VwNCAa-Ds4I/AAAAAAAACBg/xdqrVu4WPBoZ0tcKuGYpMQPpBO94vp1vg/s1600/kibwana%2B%25283%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://3.bp.blogspot.com/-bQvsuSnOp34/VwNCAa-Ds4I/AAAAAAAACBg/xdqrVu4WPBoZ0tcKuGYpMQPpBO94vp1vg/s640/kibwana%2B%25283%2529.jpg" /></a></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://1.bp.blogspot.com/-92arZAOq-Vk/VwNCEEfSTGI/AAAAAAAACBo/SBEfC0OF4rw7dITRDzBCqpCZqEiX-O-Kg/s1600/kibwana%2B%25281%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://1.bp.blogspot.com/-92arZAOq-Vk/VwNCEEfSTGI/AAAAAAAACBo/SBEfC0OF4rw7dITRDzBCqpCZqEiX-O-Kg/s640/kibwana%2B%25281%2529.jpg" /></a></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://3.bp.blogspot.com/-n9GVELcSWSk/VwNCAaEA95I/AAAAAAAACBc/3RSkYOAuFv8JItuMmYZaNB2t33DjQMnrQ/s1600/kibwana.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://3.bp.blogspot.com/-n9GVELcSWSk/VwNCAaEA95I/AAAAAAAACBc/3RSkYOAuFv8JItuMmYZaNB2t33DjQMnrQ/s640/kibwana.jpg" /></a></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://2.bp.blogspot.com/-64S9Qd3a1E4/VwNCEt2oDAI/AAAAAAAACBs/ghAkSHq_Qxw-T5b92H5rm9f7xJFv3j4HA/s1600/kibwana%2B%25282%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://2.bp.blogspot.com/-64S9Qd3a1E4/VwNCEt2oDAI/AAAAAAAACBs/ghAkSHq_Qxw-T5b92H5rm9f7xJFv3j4HA/s640/kibwana%2B%25282%2529.jpg" /></a></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://1.bp.blogspot.com/-MQarVdd7q6Y/VwNCEHKB0WI/AAAAAAAACBk/eKdz6k1Z56gRfyulVW6Qib2lAZeWE30Lg/s1600/kibwana%2B%25284%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://1.bp.blogspot.com/-MQarVdd7q6Y/VwNCEHKB0WI/AAAAAAAACBk/eKdz6k1Z56gRfyulVW6Qib2lAZeWE30Lg/s640/kibwana%2B%25284%2529.jpg" /></a></div>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/14494605363960898835noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-4149400358298069100.post-52977671699087426782016-01-09T03:59:00.001-08:002016-01-09T03:59:43.659-08:00New Audio: ONE LOVE SQUARE - NITUNZE SIKILIZ na DOWNLOAD hapa....New Audio: ONE LOVE SQUARE - NITUNZE SIKILIZ na DOWNLOAD hapa....<br />
<a href="http://1.bp.blogspot.com/-hnbXx3LKJPY/VpD141M9x8I/AAAAAAAAB_o/lS5lvB9epAQ/s1600/IMG_20151117_194002%25280%2529.jpg" imageanchor="1" ><img border="0" src="http://1.bp.blogspot.com/-hnbXx3LKJPY/VpD141M9x8I/AAAAAAAAB_o/lS5lvB9epAQ/s400/IMG_20151117_194002%25280%2529.jpg" /></a><br />
<iframe src="http://www.hulkshare.com/embed.php?fn=yi4o9c078ykg" scrolling="no" frameborder="0" width="100%" height="160px"></iframe>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/14494605363960898835noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-4149400358298069100.post-49949575986406847572015-12-07T03:08:00.000-08:002015-12-07T03:08:03.551-08:00BONGO KUNG’ARA TUZO ZA FILAMU MAREKANI<a href="http://3.bp.blogspot.com/-LaxObaOi2Mk/VmVoUIL-lyI/AAAAAAAAB-M/YazD8zReoxk/s1600/omar.jpg" imageanchor="1" ><img border="0" src="http://3.bp.blogspot.com/-LaxObaOi2Mk/VmVoUIL-lyI/AAAAAAAAB-M/YazD8zReoxk/s400/omar.jpg" /></a><br />
<br />
MWIGIZAJI wa filamu nchini, omary Clayton, ameibuka kidedea katika kipengele cha msanii bora wa kiume kwenye tuzo za Califonia Online Viewers Choice Awards (COVCA) zilizotolewa usiku wa kuamkia jana huko Marekani.<br />
<br />
Nyota huyo ni moja ya waigizaji wakuu waliofanya vizuri kwenye filamu inayoitwa Dogo Masai iliyomfanya Omary Clayton kuingia kwenye kinyang’anyiro hicho.<br />
<br />
Tuzo hiyo ilikuwa inawaniwa na wakali kama vile Veron Aldershoff wa Marekani, Dario Merlini wa Ufaransa, Seppe Cosyns wa Ubelgiji na Eric Calderon wa Costa Rica.Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/14494605363960898835noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-4149400358298069100.post-12509257344193129772015-12-07T03:02:00.000-08:002015-12-07T03:02:48.968-08:00YAMOTO BAND KUWANIA TUZO ZA KORA 2016 KIPENGELE CHA ‘MOST PROMISING MALE ARTIST OF AFRICA’.<a href="http://4.bp.blogspot.com/-B07nMkj57nY/VmVnHPOD9ZI/AAAAAAAAB-A/CTS6RGe8J6I/s1600/diamondnayamotoband-559x520.jpg" imageanchor="1" ><img border="0" src="http://4.bp.blogspot.com/-B07nMkj57nY/VmVnHPOD9ZI/AAAAAAAAB-A/CTS6RGe8J6I/s400/diamondnayamotoband-559x520.jpg" /></a><br />
<br />
Wakati Yamoto Bendi wakiendelea kutoa burudani mji wa Washington DC,imefanikiwa kuwania tuzo za Kora 2016,ikiwa kwenye kipengele cha’Most Promising Male Artist of Africa’.<br />
<br />
Mkurugenzi wa bendi hiyo Said Fella alisema kwanza anamshukuru Mungu kwa vijana kufanya onesho la pili juzi Washington DC,pia kufanikiwa kuingia katika tuzo za Kora.<br />
<br />
Fella ambaye ni diwani wa Kata ya Kilungule alisema ni kitu kikubwa kwa bendi yake kuingia tuzo za kimataifa na kinazidi kuipandisha bendi yake ambayo sasa ipo Marekani kwa ziara ya maonesho maalum.<br />
<br />
Kwa upande wa ziara ya bendi yake nchini Marekani alisema vijana hao watafanya onesho la mwisho Desemba 12,katika mji wa Houston na baadaye kurejea nchini kwa kazi zao nyingine.Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/14494605363960898835noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-4149400358298069100.post-52407388131898054442015-12-07T02:43:00.000-08:002015-12-07T02:43:42.026-08:00Save hii tarehe ! December 11 2015 zinatolewa Tuzo TanzaniaSave hii tarehe ! December 11 2015 zinatolewa Tuzo Tanzania<br />
<br />
<a href="http://2.bp.blogspot.com/-zYj4L8B4Mno/VmVip6cViVI/AAAAAAAAB90/B6jesjh0BkM/s1600/tz-awards-2.jpg" imageanchor="1" ><img border="0" src="http://2.bp.blogspot.com/-zYj4L8B4Mno/VmVip6cViVI/AAAAAAAAB90/B6jesjh0BkM/s400/tz-awards-2.jpg" /></a><br />
<br />
Naambiwa December 11 2015 ndio itakua siku yenyewe ya Viongozi/Wafanyabiashara mbalimbali kupewa tuzo za kutambua mchango wao kwenye ishu mbalimbali walizozifanya kitofauti katika kuleta mabadiliko kwenye jamii ya Watanzania.Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/14494605363960898835noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-4149400358298069100.post-86655458115265298352015-12-07T02:08:00.000-08:002015-12-07T02:08:31.701-08:00Moto wa Rais Magufuli umeendelea bandarini, wengine wamesimamishwa leo..Moto wa Rais Magufuli umeendelea bandarini, wengine wamesimamishwa leo..<br />
<br />
<a href="http://3.bp.blogspot.com/-g5FC54CmENM/VmVaaIvc-8I/AAAAAAAAB9k/Xrw_2fKfr68/s1600/as.jpg" imageanchor="1" ><img border="0" src="http://3.bp.blogspot.com/-g5FC54CmENM/VmVaaIvc-8I/AAAAAAAAB9k/Xrw_2fKfr68/s400/as.jpg" /></a><br />
<br />
Mpaka leo hii December 07 2015 tunahesabu kama mwezi mmoja hivi umepita tangu Rais Magufuli aapishwe na aanze kazi ya Urais wa awamu ya tano Tanzania.<br />
<br />
Mfululizo wa stori zenye uzito wa kasi yake kwenye Urais zimekuwa zikitufikia kila siku, ya leo bado inabeba headlines za bandarini kwa mara nyingine… tangu siku ya kwanza Waziri Mkuu Majaliwa Kassim amefanya ziara ya ghafla bandarini mengi yameripotiwa ikiwemo ishu ya ubadhirifu, rushwa, kukwepa kodi ya upotevu wa makontena.<br />
<br />
Mpya iliyonifikia kutoka bandarini inahusu kutenguliwa kwa uteuzi wa Kaimu Mkurugenzi wa bandari, Awadhi Massawe, na pia kuvunja bodi ya bandari Dar es Salaam.<br />
<br />
Kingine ni kwamba Rais Magufuli pia amemsimamisha kazi Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Shabani Mwanjaka.Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/14494605363960898835noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-4149400358298069100.post-85394995096435803552015-12-07T00:07:00.000-08:002015-12-07T00:07:05.406-08:00Majambazi yarusha Risasi ovyo Bunda, yaua mchoma ‘vitumbua’.<br /><figure class="featured-thumbnail large">
<img alt="Majambazi yarusha Risasi ovyo Bunda, yaua mchoma ‘vitumbua’." src="http://www.timesfm.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/vitumbua-559x520.jpg" />
</figure>
<div class="content">
Wakazi wa mji wa Bunda mkoani Mara hivi sasa wanaishi maisha ya
hofu baada ya kundi la majambazi kuvamia na kumuua muuza vitumbua.<br />
Tukio hilo lilitokea juzi saa 1:40 usiku na kusababisha taharuki kwa wananchi ambao walilazimika kukimbia kunusuru uhai wao.<br />
Majambazi hayo yalivamia katika eneo jirani na Benki ya NMB Tawi la Bunda na kufyatua risasi ambayo ilimuua kijana huyo.<br />
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, majambazi hayo pia yalivamia
katika vibanda vya M-pesa vilivyoko katika eneo la kituo cha zamani cha
mabasi mjini Bunda yakiwa yanarusha risasi ovyo.<br />
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Philip Kalangi, alisema iliwalazimu
askari waliokuwa zamu katika benki ya NMB kujibu mapigo kwa kufyatua
risasi.<br />
“Risasi nyingi ni za polisi waliokuwa lindoni pale benki ya NMB waliona wajibu mapigo kwa kufyatua risasi,” alisema Kalangi.<br />
Mmoja wa wafanyabiashara ambao kibanda chake cha M-pesa kilivamiwa na
majambazi hayo, Omar Rashid, alisema watu hao waliokuwa na bunduki
walimteka na kumtaka atoe fedha zote alizokuwanazo.<br />
Alisema majambazi hayo yalichukua zaidi ya Sh 800,000 zilizokuwa
kwenye droo na simu yake ya mkononi ya kutolea huduma ya M-Pesa
iliyokuwa na zaidi ya Sh milioni moja.<br />
“Ilikuwa kama saa moja na dakika 45 hivi nilishutukia wanapiga
risasi, nikiwa bado ninashangaa wakavamia katika kibanda changu wakitaka
niwape fedha zote nilizokuwa nazo.<br />
“Kabla sijatoa tu mmoja alikuwa na kama nyundo akataka kunipiga
nikatoa droo ya fedha nikawapa na wakachukua na simu yangu ya M-Pesa,”
alisema Rashid.</div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/14494605363960898835noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-4149400358298069100.post-74876526123203130372015-12-07T00:04:00.000-08:002015-12-07T00:04:06.045-08:00Jana ilikuwa ‘siku ya kuzaliwa’ ya Jacqueline Wolper, akamua kuchimba kisima cha kisasa kupunguza tatizo la maji kwa wakazi wa Kimara.<br /><figure class="featured-thumbnail large">
<img alt="Jana ilikuwa ‘siku ya kuzaliwa’ ya Jacqueline Wolper, akamua kuchimba kisima cha kisasa kupunguza tatizo la maji kwa wakazi wa Kimara." src="http://www.timesfm.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/jackline-wolper-559x520.jpg" />
</figure>
<div class="content">
Jana ilikuwa ni kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa, ya Actress daraja
la kwanza kwenye kiwanda cha filamu Bongo aitwae Jacqueline Wolper.<br />
Katika kusheherekea siku yake hiyo muhimu, Wolper kama mkazi wa
Kimara Golani jijini Dar es salaam akaamua kudhamini uchimbaji wa Kisima
kusaidia kupunguza kero ya maji katika eneo hilo.<br />
“Kuanzia mwaka juzi nimekua na desturi ya kushirikiana na watu siku
yangu muhimu ya kuzaliwa Mwaka juzi nilipata nafasi ya kukaa na watoto
yatima na mwaka jana kituo cha wazee Mwaka huu nimeamua kugusa maisha ya
watu wengi zaidi Kwahivyo kwa kutafakari jinsi gani tatizo la maji ni
kubwa, nimeamua kutumia kidogo nilichonacho kujenga kisima chenye uwezo
wa kuhudumia watu 3500 katika shule ya msingi eneo la Golani Kimara.
Wananchi wa huku wamekua wakipata shida ya maji sana na wenye uwezo
wamekua wakinunua ndoo moja kwa tsh 1000, ambayo ni bei kubwa
kugharamikia maji. Hili ni tatizo kwakweli, sio hapa tu bali maeneo
mengi nchi nzima. Nimeona niwashirikishe jambo hili wapendwa wangu wote
kwakua tuna nafasi ya kusaidia hata kama kidogo ila naamini “even a
penny can change the world” Ukitoa kidogo na mwingine pia akatoa basi
lazima kutakua na mabadiliko Tunaweza kuanza kufanya na kubariki maisha
ya wanaotuzunguka kidogo kidogo Tuanze leo. Maji ni haki ya kila
binadamu. Lets save lives,help bring water.” ameandika kupitia ukurasa
wake wa Instagram.<br />
Mkali huyo ameshukuru ushirikiano alioupata kutoka kwa Diwani wa kata
hiyo na Mbunge wa Ubungo Saeed Kubenea, pamoja na baadhi ya wakazi wa
Golani Kimara.</div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/14494605363960898835noreply@blogger.com0