Wasanii ambao wapo kwenye Project hio ni Salif Keita,King Sunny Ade,Diamond Platinumz, Lady Jaydee, Joel, MI, Waje, Jimmy Jatt, Bez, Octopizzo, Tumi, Boddhi Satva, Sebunjo, Qwela, Miss Karun, Just a Band, Hip Hop Pantsula, Lillian Mbabazi na Culture Music Club … Pia Project hio katika Nchi ya Nigeria na Uganda Imeshafunguliwa tayari, na huku nchi nyingine zikusubiria kwa hamu ufunguzi wa project hio ya burudani ya muziki …
Lady Jay Dee Na Diamond Platinumz Ndani Ya Coke Studio …
Wasanii ambao wapo kwenye Project hio ni Salif Keita,King Sunny Ade,Diamond Platinumz, Lady Jaydee, Joel, MI, Waje, Jimmy Jatt, Bez, Octopizzo, Tumi, Boddhi Satva, Sebunjo, Qwela, Miss Karun, Just a Band, Hip Hop Pantsula, Lillian Mbabazi na Culture Music Club … Pia Project hio katika Nchi ya Nigeria na Uganda Imeshafunguliwa tayari, na huku nchi nyingine zikusubiria kwa hamu ufunguzi wa project hio ya burudani ya muziki …
0 MAONI :
Post a Comment