
Scorpion girls ni kundi la muziki ambalo lilikuwa na wasanii wa bongomovie kama Jini Kabula,Isabellah na Jacky wa Chuzi. Lakini hivi sasa hakuna ngoma iliyotoka wakiwa pamoja tena. Upande mwingine ikiwa ni siku chache baada ya Mzee Magari kutoa wimbo wake wa Dar raha, leo hii Jini Kabula katoa ngoma yake na yeye inaitwa Mapenzi ya nini?. Kuwa wa kwanza kusikiliza hiyo ngoma hapa hiyo ngoma
0 MAONI :
Post a Comment