Tangaza na Abd Da Hustler

Soma maneno aliyoyaandika LULU kwa Dr.cheni kusherehekea siku yake ya kuzaliwa leo.


Soma maneno aliyoyaandika LULU kwa Dr.cheni kusherehekea siku yake ya kuzaliwa leo.
Leo tunasherehekea siku ya kuzaliwa ya mwigizaji mwenzetu na rafiki yetu Mahsein Awadhi maarufu kama Dr.Cheni. Cheni ni mmoja wa waigizaji wakongwe na waliojipatia sifa kubwa hapa nchini katika kipindi chote hichi cha maisha yake. Katika pitapita zetu tuliweza kupata maneno aliyoandikiwa na muigizaji Elizabeth Michel katika kusherehekea siku yake ya kuzaliwa.
Lulu ameandika…
“Daah..dnt even know whr to start!!!!okay....umekuwa ni mtu muhimu sana katika maisha yangu...mtu mwenye kunipenda kwa dhati na kunithamani...kila ninapokuwa najaribu kukuelezea huwa nakosa cha kuongea na najisikia kulia tu....!!!nina uhakika sina cha kukulipa zaidi ya kukuombea uishi maisha marefu yenye amani,afya na faraja!!!HAPPY BIRTHDAY DADDY CHENI......♥”
Dr. Cheni amekuwa ni mtu wa karibu sana wa mwanadada Elizabeth Michael na ni mmoja wa watu waliofanikisha kwa kiwango kikubwa  kwenye upatikanaji wa dhamani wa mwanadada huyu katika kesi inayomkabili.
Happy birthday Dr.Cheni.
Share on Google Plus

About Unknown

Naitwa Abdalla Ngowi, Napenda Michezo na kukupa habari mbalimbali kutoka katika kila kona ya ulimwengu huu!, karibu ABD da Hustler
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 MAONI :

Post a Comment