Tangaza na Abd Da Hustler

BREKING NEWS:Mke wa BKACK RHINO AMEJIFUNGUA


Msanii wa Hip Hop apa Nchini ambaye pia ni mdogo wa Pro Jay anaejulikana kwa jina la BLACK RHINO Mungu amemjalia mkewake amejifungua mtoto wa kike dk 45 iliyo pita katika Hospital ya Muhimbili Dar es salaam. Rhino amesema mkewake amejifungua kwanjia ya kawaida na wote wako salama kabisa...stay tune kwa picha za mtoto zinakuja mda simrefu....
by Dj Choka
Share on Google Plus

About Unknown

Naitwa Abdalla Ngowi, Napenda Michezo na kukupa habari mbalimbali kutoka katika kila kona ya ulimwengu huu!, karibu ABD da Hustler
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 MAONI :

Post a Comment