Tangaza na Abd Da Hustler

Diamond, MwanaFA Na Jose Chameleone Wabadilisha ‘AVI’ Zao (Twitter) Ku-support WE ARE ONE Campaign Kufuatia Tukio La WESTGATE


Wasanii wakubwa kutoka East Africa na Africa, Diamond Platnumz, MwanaFA na Jose Chameleone waendelea ku-support wahanga wa shambulizi la wanajeshi wa Al-Shabaab kupitia kampeni ya WE ARE ONE #BadilishaProfile  kwa kubadili profile pictures zao katika mtandao wa kijamii wa twitter MwanaFA, Jose Chameleone, Huddah, Lameck Ditto na wengineo … Wakati huo huo, watu wameanza kuitwa kufuata magari yao katika PARKING walipokuwa wameyaacha kutokana na mashambulizi … Tukio hilo la WESTGATE jijini Nairobi, linasemekana kupoteza zaidi ya raia 63 nchini humo … See the artists accounts …
mwana
jose
diamond
Share on Google Plus

About Unknown

Naitwa Abdalla Ngowi, Napenda Michezo na kukupa habari mbalimbali kutoka katika kila kona ya ulimwengu huu!, karibu ABD da Hustler
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 MAONI :

Post a Comment