
Marafiki wa karibu Rehema ambao waliombwa wasitajwe .wamesema kuwa Rehema aliondoka kuelekea Shanghai wiki moja iliyo pita halafu juzi ndio wakapokea habari kuwa rafiki yao kakamatwa na kosa jingine na alivyo kaa kwa sababu VISA yake ilikuwa imekwisha kitambo.
Kama kuna ndugu yeyote au rafiki aliyeona habari hii mnaombwa mfikishe habarii kwa Mama yake mzazi ajue.......
chanzi(Dj Choka)
0 MAONI :
Post a Comment