Tangaza na Abd Da Hustler

Baada Ya Kupona Na Kujitoa Kwenye Matumizi Ya Dawa Za Kulevya, Ray C …

ray-c
Mwana dada Ray C amefanikiwa kupona na kushinda tatizo la utumiaji wa dawa za kulevya na amesmshukuru sana Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa kumhamasisha na kumsaidia msanii huyo na pia amewashukuru watu wakaribu waliokua wakimsaidia pia.
Ray C amebatizwa rasmi na kuonyeshwa njia mpya katika maisha, na pia mwana dada huyo amerudi rasmi katika kazi yake ya usanii na yupo katika maandalizi ya kuachia Album yake mpya, ambayo ameshaikamilisha katika shughuli za kurekodi.
Share on Google Plus

About Unknown

Naitwa Abdalla Ngowi, Napenda Michezo na kukupa habari mbalimbali kutoka katika kila kona ya ulimwengu huu!, karibu ABD da Hustler
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 MAONI :

Post a Comment