Tangaza na Abd Da Hustler

HUU NDIO UKWELI ALIO SEMA DIAMOND KUHUSU PICHA ZAKE NA WEMA SEPETU WALIZO PIGA CHINA........TIRIRIKA COMMENT ZAKO SASA


Leoilikuwa kama gumzo katika ACCOUNT za INSTARGRAM baada ya kuonekana picha hizi DIAMOND akiwa na WEMA SEPETU pande za CHINA. Mengi yalisemwa hadi wengine kumtukana PENNY ambaye ndio mchumba wa DIAMOND lakini ukweli ni kwamba hii ni MOVIE mpya kabisa aliyochezwa na DIAMOND akiwa na WEMA SEPETU na hakuna kingine kinachoendelea tena hapa ni kazitu. NA mnukuu DIAMOND aliosema maneno haya. by DJ CHOKA





Share on Google Plus

About Unknown

Naitwa Abdalla Ngowi, Napenda Michezo na kukupa habari mbalimbali kutoka katika kila kona ya ulimwengu huu!, karibu ABD da Hustler
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 MAONI :

Post a Comment