Tangaza na Abd Da Hustler

Kampeni za uchaguzi Tanzania

Watanzania watafanya uchaguzi wa serikali za mitaa Desemba 14

Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Tanzania imeanza kazi ya kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura.

Katika maboresho hayo, tume imeanzisha mfumo wa kuchukua au kupima taarifa za mwili au tabia ya mtu ujulikanayo kama Biometric Voter Registration, BVR na kuzihifadhi kwenye data base za tume hiyo.

Vyama vya siasa na wadau wengine wa masuala ya uchaguzi wamekuwa wakitaka pawe na mfumo utakaosaidia kuondoa udanganyifu unaosababisha uchaguzi kutokuwa huru na wa haki.

Share on Google Plus

About Unknown

Naitwa Abdalla Ngowi, Napenda Michezo na kukupa habari mbalimbali kutoka katika kila kona ya ulimwengu huu!, karibu ABD da Hustler
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 MAONI :

Post a Comment