TATIZO LA UKOSEFU/ UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME : Chanzo, Athari & Suluhisho Lake.
Wanaume wengi wanasumbuliwa na tatizo la ukosefu/ upungufu wa
nguvu za kiume, hii ni kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za
kitaalamu. Hapa kwetu hususani katika maeneo ya mijini, katika
kila wanaume kumi wanao tembelea barabarani angalau watatu kati
yao wanakabiliwa na tatizo la upungufu/ ukosefu wa nguvu za
kiume, wamewahi kukabiliwa na tatizo hilo ama hawana uhakika kama
wanazo nguvu za kiume za kutosha. Tunazo shuhuda nyingi sana
za watu wanao sumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume ambao
wanakuja kupata tiba na ushauri kituoni kwetu lakini kwa
sababu za ki-ethics hatutoweza kuzipublish hapa mtandaoni, ila
kiukweli tatizo la upungufu ama ukosefu wa nguvu za kiume
lisipo tafutiwa ufumbuzi wa kina, linaweza kuwa na athari kubwa
sana kwa muhusika katika maisha yake yote...ENDELEAAAAAA
0 MAONI :
Post a Comment