Tangaza na Abd Da Hustler
Showing posts with label HABARI. Show all posts
Showing posts with label HABARI. Show all posts

Mshike mshike wa Epl kuendelea kesho

Nyasi za viwanja saba zitawaka moto katika mshike mshike wa ligi kuu ya England itayoendelea wikiendi hii. Wagonga wa nyundo wa London W...
Read More

Boko Haram 800 wajisalimisha Nigeria

Wapiganaji 800 wa kundi la wanamgambo wa kiislamu wa Boko Haram wamejisalimisha kwa Jeshi la Nigeria. Wapiganaji 800 wa kundi la wanamgam...
Read More

Kenya na Tanzania zashuka orodha ya Fifa

Wachezaji wa Taifa Stars ya Tanzania Kenya imeshuka hatua 12 nayo Tanzania ikashuka hatua 5 kwenye orodha ya viwango vya ubora wa soka ya...
Read More

Mwanafunzi wa kiume anayepata ''hedhi''

George na Amber May Ellis George Fellowes ni mwanafunzi wa chuo kikuu mwenye umri wa miaka 22 na anaamni kwamba hata yeye hupatwa na ...
Read More

Uliiona picha ya Diamond Platnumz kutoboa pua?! ukweli ninao hapa

Kwa saa kadhaa zimeenea taarifa za mwimbaji staa wa bongofleva Diamond Platnumz kuonekana katoboa pua, hii habari imepewa nguvu kutokana n...
Read More

Audio: Je waijua siri ya mafanikio ya mwanamuziki wa kizazi kipya Vanessa Mdee

Je waua siri ya mafanikio ya mwanamuziki wa kizazi kipya Vanessa Mdee,ambaye amepata mafanikio baada ya kujizolea tuzo kadhaa za kimataif...
Read More

Moyo wa nguruwe wapandikizwa kwa nyani

Upandikizaji wa moyo wa nguruwe kwa nyani Wanasayansi wanasema kuwa wameuweka moyo wa nguruwe katika nyani kwa zaidi ya miaka miwili. M...
Read More

Kwa wanaosubiri mchezo wa Yanga Vs Al Ahly ya Misri, kuna taarifa mpya hapa

Uongozi wa klabu ya Dar Es Salaam Young Africans leo April 6 kupitia kwa afisa habari wake Jerry Muro ameongea na vyombo vya habari na kuele...
Read More

Kauli ya Simba kuhusu golikipa wao kufungiwa miaka 10 kucheza soka na TFF

Bado headlines za uongozi wa klabu ya Simba kuendelea kueleza hisia zao za kutofurahishwa na shirikisho la soka Tanzania TFF na bodi ya Ligi...
Read More

Uadilifu wa rais mpya wa Fifa watiliwa Shaka

Gianni Infantino Rais mpya wa shirikisho la soka duniani Fifa,Gianni Infantino alisaini kandarasi na wafanyibiashara wawili ambao wanatuhu...
Read More

Iran, Pakistan na Saudia zaongoza kwa kunyonga

Ongezeko la idadi ya watu wanaonyongwa ulimwenguni lilisababisha watu zaidi kuuawa kwa njia hiyo mwaka uliopita ikilinganishwa na kipindi ch...
Read More

AUDIO: Kesi imemgeukia Lyatonga Mrema, anatakiwa kulipa MILIONI 40 kabla ya tarehe 5 June

Kesi ya Lyatonga Mrema kupinga ushindi wa Ubunge wa James Mbatia jimbo la Vunjo ilikua Mahakamani tena April 4 2016 ambapo jipya lililotang...
Read More

HABARI NZURI TZ: Mchezaji wa Tanzania mwenye dili jipya la kuvalishwa viatu na kampuni ya PUMA

Soka la Tanzania linazidi kusogea na kuzipiga hatua za kimaendeleo na mastaa wake nao wanagonga vichwa vya habari kila kukicha, sasa hivi ki...
Read More

GOOD NEWS: kWA WAKAZI WA KURASINI MWIZI MAARAFU MKABAJI KIBWANA AFARIKI DUNIA BAADA YAKUPIGWA NA WANANCHI

MBWANA a.k.a. KIBWANA afariki dunia alfajiri ya kuamkia tarehe 5 nimtaalamu wakuiba kukaba na kuua ebwanaee mtaani wtu wana fanya sherehe ku...
Read More