Mzozo wa kisiasa umeibuka nchini Zimbabwe baada ya
rais Robert Mugabe kutoa agizo kuwa uchaguzi mkuu nchini humo utafanyika
tarehe Thelathini na Moja Julai mwaka huu.
Waziri mkuu wa Zimbabwe, Morgan Tsvangirai, ametoa taarifa muda mfupi tu baada ya agizo hilo la rais, akisema kuwa rais Mugabe amekiuka
sheria kwa kutoshirikisha bunge na ameapa kupinga uamuzi huo.
-
Blogger Comment
-
Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)


0 MAONI :
Post a Comment