Tangaza na Abd Da Hustler

PICHA ZA SIKU: MASHINDANO YA MAGARI YA GHARAMA YASIYO RASMI YA WACHEZAJI WA MAN UNITED: ANDERSON KIBOKO AINGIA MAZOEZINI NA GARI LA MILLION 286

MERC-URIAL TALENT ... Anderson turns up in his £168,395 SLS
    Anderson akiingia na gari yake aina ya Mercedez yenye thamani ya  £168,395 
 
Leo asubuhi wachezaji wa Manchester United walikuwa na mashindano yasiyo rasmi ya kuonyesha magari yao ya thamani wakati wakiwasili kwenye uwanja wao wa mazoezi AON Carrington. Mchezaji wa kibrazil Anderson pamoja na kutokuwa mmoja ya wachezaji wanaolipwa fedha nyingi sana na United - yeye ndio alikuwa mchezaji aliyekuja na gari la thamani zaidi Mercedez ambalo linauzwa kiasi cha millioni 286,271,500 za kitanzania.
 

                            Rio Ferdinand — Jaguar XJ Portfolio (£70,385)

Rio Ferdinand 
 

               Wayne Rooney — Range Rover Sport Autobiography (£84,895)

Rooney

                            Nemanja Vidic — Mercedes M Class (£47,385)

Vidic


               Ryan Giggs — Range Rover Sport Autobiography (£98,395)

Giggs

                          Phil Neville — Porsche Cayenne (£86,895)

Neville

                    Rafael and Fabio da Silva — Chevrolet Captiva (£32,000)

Fabio & Rafael

                           Michael Carrick — Mercedes M Class (£47,386)

Carrick

                  Ashley Young — Range Rover Sport Autobiography (£68,995)

Young

                         Alex Buttner — Chevrolet Camaro Coupe (36,785)

Buttner
Share on Google Plus

About Unknown

Naitwa Abdalla Ngowi, Napenda Michezo na kukupa habari mbalimbali kutoka katika kila kona ya ulimwengu huu!, karibu ABD da Hustler
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 MAONI :

Post a Comment