STORY NZURY YA DAVID BECHAM NA ISCO NA USAJILI WAO WA REAL MADRID Unknown MICHEZO Julai 3 mwaka 2003, David Beckham alisaini mkataba wa kuichezea Real Madrid akitokea Manchester United na kuchagua jezi namba 23...................... Miaka 10 baadae siku ile ile ya Julai 3, 2013 kijana Isco asaini mkataba wa kuichezea Real Madrid akitokea Malaga na kuchagua jezi namba 23. Share on Facebook Share on Twitter Share on Google Plus About Unknown Naitwa Abdalla Ngowi, Napenda Michezo na kukupa habari mbalimbali kutoka katika kila kona ya ulimwengu huu!, karibu ABD da Hustler Kumbuka Kusoma na Hizi
0 MAONI :
Post a Comment