Tangaza na Abd Da Hustler

Huyu Ndiye Mrembo Aliyechukua Taji La Miss Universe Tanzania Kwa Mwaka 2013

IF
Mrembo BETTY BONIFACE ameibuka mshindi usiku wa jana kama MISS UNIVERSE TANZANIA na kutwaa Taji kutoka kwa mshindi wa mwaka jana …
Mashindano hayo, ambayo yalifanyika katika ukumbi wa makumbusho ya Taifa – Posta, jijini Dar es salaam, mshiriki CLARA NOOR alichukua taji la MISS EARTH …
Usiku huo, ulitambwa na show kali kutoka kwa HABA NA HABA CREW ambao walipamba vizuri huo …
Goodluck kwa Miss Universe Tanzania -2013 … Miss Betty !
 
Share on Google Plus

About Unknown

Naitwa Abdalla Ngowi, Napenda Michezo na kukupa habari mbalimbali kutoka katika kila kona ya ulimwengu huu!, karibu ABD da Hustler
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 MAONI :

Post a Comment