Chris Brown yupo tayari kwa ujio wa album yake ya sita kama solo artist itakayoitwa X. Mpaka sasa cd ili imetoa wimbo wa Fine Chine, Don’t Think
They Know, ft Aaliyah na Love More ft Nicki Minaj. Breezy ametangaza kwenye Twitter yake kuwa cd hii inatoka November 19.
Walio
shirikishwa ni pamoja na Rihanna, Kendrick Lamar, Kelly Rowland, Diplo,
naTimbaland na Brown amesema anampango wakutengeneza album hii iwena cd
mbili kwenye mahojiano na DJ Skee.
0 MAONI :
Post a Comment