Tangaza na Abd Da Hustler

Kanye West Amchumbia Kim Kardashian Rasmi …



New Image
Rapper Kanye West kutoka Marekani amemchumbia rasmi mchumba wake Kim Kardashian usiku wa tarehe 21, wa wili hao walikua katika mahusiano ya muda mrefu na wamefanikiwa kupata mtoto mmoja wa kike North West. Rapper Huyo alimchumbia mrembo huyo mbele ya Marafiki zao na Familia jijini San Francisco ambapo ilikua ni siku ya kuzaliwa ya mwana dada huyo kutimiza miaka 33.
Share on Google Plus

About Unknown

Naitwa Abdalla Ngowi, Napenda Michezo na kukupa habari mbalimbali kutoka katika kila kona ya ulimwengu huu!, karibu ABD da Hustler
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 MAONI :

Post a Comment