Mwana dada Rihanna hivi karibuni alilazimika kuondoka katika eneo la
msikiti pale alipokua akipiga picha kaitka msikiti wa Sheikh Zayed
huko Abu Dhabi, mwana dada huyo alikua huko kwa ajili ya matembezi na
kikazi za fashion lakini wakati akiwa eneo hilo la msikiti Rihanna
aliombwa kuondoka katika eneo hilo haraka kwa kua eneo hilo la msikiti
hairuhusiwi kwa wageni kufanyia shughuli zao binafsi…
0 MAONI :
Post a Comment