Nimeshitushwa na maneno ya Katibu Mkuu
wa CHADEMA Dr. Slaa alipokua akiwahutubia wananchi wa Iringa kuwa
Mabomba ya gesi inayochimbwa Mtwara yanaelekezwa Ulaya badala ya
kuelekezwa kwa wananchi wa Mtwara. Ameeleza hayo bila kufafanua ukweli
wa jambo hilo. "Katika taarifa ya habari ITV usiku huu,
Dr. Slaa anasema: Tunaambiwa mabomba Mtwara yanaelekea Dar, kumbe
yameelekezwa Ulaya, wanachukukua gesi yetu. Hatutakubali!" Source: ITV HABARI
0 MAONI :
Post a Comment