Tangaza na Abd Da Hustler

Mwaka 2013, Drake Ndiye Rapper Aliyeongoza Kwa Kutajwa Sana Katika Mtandao Wa Twitter …



drizzy
Aubrey “Drake” Graham, rapper mzaliwa wa Canada aktika jiji la Toronto ni moja ya msanii mkubwa ambaye amepata mafanikio makubwa mwaka jana (2013) haswa baada ya kuachia Album yake mpya ya Nothing Was The Same ambayo imefanikiwa kufika platinum na huku baadhi nyimbo zake kutamba sana katika chati kubwa za music duniani za Billboard.
Drake-600x325
Kutokana na harakati zake kubwa alizozifanya msanii huyu katika maisha yake pamoja na kazi zake, Rapper Aubrey “Drake” Graham amejikuta akiwa anatajwa sana katika mitandao ya internet kama blogs na websites za entertainment na sana sana mtandao ya kijamii kama Facebook, Tumblr, Twitter n.k. Lakini rapper huyu kwa mwaka jana peke yake kupitia mtandao wa twitter, inasemekana yeye ndiye rapper aliyetajwa sana kushinda rappers wengine yoyote baada ya kutajwa zaidi ya mara  52,202,000 huku akifuatiwa na Rap God Eminem ambaye alitajwa mara  21,271,953  .
Share on Google Plus

About Unknown

Naitwa Abdalla Ngowi, Napenda Michezo na kukupa habari mbalimbali kutoka katika kila kona ya ulimwengu huu!, karibu ABD da Hustler
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 MAONI :

Post a Comment