Tangaza na Abd Da Hustler

NAJ AFUNGUKA MENGI KUHUSU MR. BLUE ASEMA HAJUTII KUTOLEWA BIKRA NA KABAISA HUYO

Mwanamuziki Naj ambae kwa sasa anaishi Uingereza ameelezea story nzima ya mahusiano kati yake na mr. Blue yaliyodumu kwa muda kidogo kabla ya kuchana mwaka jana mwanzoni. Naj anasema Blue ndo alikua boy wake wa kwanza na ndo aliyemtoa bikra.

Naj anafunguka kwamba hakua anajua kama kipindi yuko na Kabaiser kwamba alikua na mademu wengine   wawili. Anasema Blue alikua mpole kwake na mstaarabu na wala hajutii kukutana nae maishani na kumfanya awe mwanamme wa kwanza kumvulia chu.....Naj ambae kwa sasa yupo masomoni uingereza alisema mahusiano yao yalikua magumu kutokana na umbali waliokua nao na mambo flan ambayo alisema ni ya kiprivate na hawez kuyaweka hadharani
Share on Google Plus

About Unknown

Naitwa Abdalla Ngowi, Napenda Michezo na kukupa habari mbalimbali kutoka katika kila kona ya ulimwengu huu!, karibu ABD da Hustler
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 MAONI :

Post a Comment