Anakuwa raia wa pili wa Uswisi kunyakua taji hilo la Grand Slam kwa upande wa wanaume kwa mchezo wa tenesi na mchezaji mmoja mmoja.
Naye Wawrinka alimsifu Nadal kwa kuwa bingwa wa kweli na kinara wa kweli wa tenesi duniani kwa wanaume, alikiri hujisikia furaha kupambana na kumshinda bingwa kama Nadal.
Wawrinka hajawahi kushinda hata seti moja katika michezo yote 12 aliyokutana na Nadal huko nyuma, na alicheza fainal yake ya kwanza akiwa kwenye nafasi ya 19 ya ubora wa tenesi duniani.
0 MAONI :
Post a Comment