“Nimeshafanyiwa upasuaji mara 12 na mirija yangu yote imeziba, upande wangu mmoja wa ovary haufanyi kazi. Ile ndoto yote ya mimi kama mwanamke kupata mtoto kwa njia ya kawaida imetoweka.” Amesema Happiness kwa huzuni.
Ameeleza kua aliamua kuondoa kizazi ili baadae amuasili mtoto kwa kuogopa kumuambukiza tatizo hilo mtoto ambaye angemzaa (endapo angezaa mtoto wa kike).
Amesema tukio hilo ndilo lililomsababisha aanzishe taasisi ya kusaidia wanawake wengine ili wasipate tatizo kama lake.
0 MAONI :
Post a Comment