
Muigizaji huyo wa filamu aliukimbia mji wa Dar na kwenda kufungia harusi yake visiwani Zanzibar ambako hakuishia kualika mastaa wenzie tu, bali pia zawadi alizopewa, zinatosha kuanzisha kampuni yake nyingine.

Pastor Myamba na mkewe wakiwa na zawadi yao ya fedha taslimu
Kwa mujibu wa JB aliyehudhuria harusi hiyo, Pastor Myamba na mkewe wamezawadiwa pamoja vitu vingine, gari jipya na pesa taslimu shilingi milioni 250!!
0 MAONI :
Post a Comment