.
Chris Brown na Rihanna wamejikuta wapo karibu kwa umbali mdogo sana walipokua kwenye mechi ya basketball kwa ajili ya kuchangia taasisi ya CC Sabathia na Robinson Cano. Mechi hiyo ilikuwa ya mafanikio kwa kuingiza zaidi ya dola milioni 1 lakini story kubwa sio hiyo.
Kitu kilichotengeneza headline ni pale Rihanna alivyoonyesha mikausho mikali hasa wakati Chris Brown anapokuwa karibu yake wakati wa mechi hiyo. Kuna wakati Chris Brown alikuwa anawasalimia mashabiki waliokuwa wamekaa karibu na kiti cha Rihanna na picha zilipigwa Rihanna anaonekana ameweka mikausho na kuangalia pembeni.
About Unknown
Naitwa Abdalla Ngowi, Napenda Michezo na kukupa habari mbalimbali kutoka katika kila kona ya ulimwengu huu!, karibu ABD da Hustler
0 MAONI :
Post a Comment