Serikali ya Algeria imetoa taarifa ikieleza wasiwasi wake kuhusu vurugu zinazoendelea nchini Libya zinaweza kusababisha hali ya ukosefu wa usalama nchini humo na kuiomba Libya kuanzisha serikali ya Umoja wa Kitaifa.
Hali ya kuvunjika kwa amani ambapo vitendo vya kigaidi vinaendelea kufanyika Libya hususani maeneo ya Mjiwa Sirte Kaskazini mwa Libya.Wizara ya mambo ya nje ya Algeria imeeleza imani yake juu ya Libya katiaka kushughulikia changamoto ya kiusalama na kulinda umoja wa kitaifa.
-
Blogger Comment
-
Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 MAONI :
Post a Comment