![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhvFUDGhWnP2ybx0Uj4yB_CniNSTfU3sevHk1zArphm3Ww0ABSoaDsvyMmrCSiGwSwo9fuCW3r5z436LkKmgxZkIHm6KS6VjF6dFMz1pl4_JMK3DbDKKduOuPN-KfOigPiLRhf1pXz0GoWn/s640/sumaye.png)
Akizungumza jana na mamia ya wananchi Dar es salaam, Sumaye amedai kwa miaka mingi CCM imekuwa ikiahidi ahadi bila utekelezaji, hivyo amewataka wananchi kumpigia kura nyingi mgombea wa CHADEMA/UKAWA Edward Lowassa.
“Niwaambie kabisa waanze kuondoka kuiachia Ikulu mapema, kama kuna hirizi zao waziondoe mapema waiache Ikulu ikiwa safi”.
0 MAONI :
Post a Comment