Kiungo hodari wa Barcelona Cesc Fabregas ameiwaambia marafiki zake anataka kuondoka Uwanja
wa Nou Camp na anataka kwenda Manchester United. Mchezaji huyo wa Hispania amesema navutiwa mara kwa mara na soka katika timu ya Old Trafford na matarajio yangu ni kuungana na
Robin van Persie.
Chanzo: Daily Mail
Chanzo: Daily Mail
0 MAONI :
Post a Comment