Ningependa
nyimbo yangu ikitoka niifanye dedication kwa WAHESHIMIWA WANASIASA Bila
kuwasahau waheshimiwa wenye BONGO FLEVA yao KAMA Ruge,Bob tale,Fella na
nk.......!PIA INAWEZA KUWA NI NAFASI NZURI KWA WALE WALIOKUWA
WANANIPIMIA...hii itakuwa ni jibu zuri la kipimo walichokuwa
wanapima...!mungu yuko nami,,na ameniongoza kwenye uandishi wa hii
nyimbo pia..!kwenye true huongo kamwe huwa haukai,hizi ni mbivu mbichi
hizo hata hazikufai.....
]]]]]]>>31 AUG 2013<<<<[[[[[[[[[[[
akiwa na team ANACONDA
Ilin ndilo kasha la song yake mpya atakayo toa hivi karibuni
akiwa na RAMA D,DANI MSIMAMO NA ADILI
AKIWA NA VINEGA TEAM
Naitwa Abdalla Ngowi, Napenda Michezo na kukupa habari mbalimbali kutoka katika kila kona ya ulimwengu huu!, karibu ABD da Hustler
0 MAONI :
Post a Comment