Tangaza na Abd Da Hustler

Save hii tarehe ! December 11 2015 zinatolewa Tuzo Tanzania

Save hii tarehe ! December 11 2015 zinatolewa Tuzo Tanzania



Naambiwa December 11 2015 ndio itakua siku yenyewe ya Viongozi/Wafanyabiashara mbalimbali kupewa tuzo za kutambua mchango wao kwenye ishu mbalimbali walizozifanya kitofauti katika kuleta mabadiliko kwenye jamii ya Watanzania.
Share on Google Plus

About Unknown

Naitwa Abdalla Ngowi, Napenda Michezo na kukupa habari mbalimbali kutoka katika kila kona ya ulimwengu huu!, karibu ABD da Hustler
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 MAONI :

Post a Comment