Hali ya Afya ya aliyekuwa rais wa Afrika Kusini Nelson Mandela, inaendelea kuimarika.
Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma, amesema kuwa
amefahamishwa na madaktari wanaomtibu kuwa, hali ya Mzee Mandela ambaye
anaendelea kupokea matibabu katika hospitali moja mjini Pretoria
imeimarika.-
Blogger Comment
-
Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)


0 MAONI :
Post a Comment