Rapper wa miondoko ya Hip Hop Gucci Mane, amefungua tena ukurasa
wake wa twitter na kuwaomba radhi mashabiki na watu wengine kwa ujumla
baada ya kutumia akunti yake hio ya Twitter kulumbana na wasanii wenzake
na huku akiendelea kufanya vituko katika maeneo mbali mbali na kufikia
hatua ya kukamatwa na mapolisi na kisha kupelekwa Hospitali kwa
uchunguzi na matibabu ya matatizo ya kiakili, lakini Rapper huyo kwa
sasa anaendelea vizuri na kufikia hatua ya kuomba Radhi kwa kutumia
akaunti yake ya Twitter.
0 MAONI :
Post a Comment