Tangaza na Abd Da Hustler

Rapper Prezzo (CMB_Prezzo) atafutwa na Polisi Nchini Kenya

Prezzo060812_2
Rapper kutoka Kenya ameingia matatani baada ya kumpiga Afisa kutoka Switzerland kwa kutumia kitako cha Bastola yake ndani ya night club Westlands, Nairobi. Afisa huyo ametoa taarifa hizo kwenye kituo cha polisi cha Pangani jijini Nairobi, nakusema kuwa rapper huyo alimpiga na kitako cha Bastola yake katika parking ya magari na kisha kumtishia maisha kwa silaha hio huku akiwa anavuja damu. Sasa Rapper huyo ameingia utatani kwa kuwa anatafutwa na polisi kutokana na ugomvi huo uliotokea ndani ya night club hio.
Share on Google Plus

About Unknown

Naitwa Abdalla Ngowi, Napenda Michezo na kukupa habari mbalimbali kutoka katika kila kona ya ulimwengu huu!, karibu ABD da Hustler
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 MAONI :

Post a Comment