Tangaza na Abd Da Hustler

Kutana na tatoo mpya ya Elizabeth Michael “Lulu” na alichosema baada ya kuweka hadharani


lulu new
Tarehe 9/10 kabla hajalala Lulu aliwaonyesha mashabiki zake picha ya tatoo yake mpya ambayo imechorwa juu ya kifua karibu na bega. Picha hiyo amepost na maneno haya “Kumekuwa na kawaida ya watu kuongea na kuhukumu wenzao bila ya kujua wanachokiongelea pengine!!Kwa upeo Wangu mdogo nafahamu sisi wote ni binadamu na tunamtegemea mtu mmoja MWENYEZI MUNGU…lakini cha kushangaza Kuwa watu wako busy kuhumu wenzao kuliko hata huyo mwenye cheo chake…Hivi Mungu angetaka kufanya Kama wanadamu tunavyofanya kungeangaliana kweli….Nadhani umefika wakati wa kumuachia mwenye majukumu yake kufanya kazi…tuache kujipa u busy usio wa lazma….!!!ONLY GOD CAN JUDGE ME….Gud nyt fam”
lulu tatoo


Share on Google Plus

About Unknown

Naitwa Abdalla Ngowi, Napenda Michezo na kukupa habari mbalimbali kutoka katika kila kona ya ulimwengu huu!, karibu ABD da Hustler
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 MAONI :

Post a Comment