Tangaza na Abd Da Hustler

(NEWS) PROTOCOL MOVIE INAYO SUBILIWA NA WENGI TANZANIA

 
 PROTOCOL (Agent Of DeTH) hii ni MOVIE mpya ya kibongo inayotarajiwa kutoka siku za karibuni kidogo, ukizungumzia mabadiliko yanayokuja katika Bongo Movie hii basi itakuwa moja kati ya bonge maja la Movie kuanzia watu  waliocheza ndani ya Movie  hii pamija na editing zilizofanyika mpaka kuwa yenye ubora wakutimizwa na watu tofauti tofauti. Adam Juma akiwa kama Direct pamoja na mwigizaji atakayeonekana kwenye hii Movie amesema alichukuwa mda mrefu na kutuliza kichwa na kuamua kuandaa kitu kama hiki. mbali na yeye wapo watu maarufu walionekana kama Eddy Juma, Mapacha Magenge na pia bila kumsahau Video Quuen Hamisa ameonekana kwenye Movie hii na wengine wengi so stay tune.....INAKUJA




Share on Google Plus

About Unknown

Naitwa Abdalla Ngowi, Napenda Michezo na kukupa habari mbalimbali kutoka katika kila kona ya ulimwengu huu!, karibu ABD da Hustler
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 MAONI :

Post a Comment