Baada ya kubanwa sana na maswali ya waongoza kipindi hicho, Chief kiumbe alifunguka kuhusu gari (Mkoko) anaomiliki Diamond Platnumz kwa sasa, ambalo ni Toyota V8 iliyogharimu zaidi ya dola laki moja, sawasawa na milioni 245 za Kitanzania ukijumuisha na ushuru. Msikilize hapa Chief Kiumbe
[Audio] Chief Kiumbe Afunguka Kuhusu Mkoko Anaomiliki Diamond Platnumz (Toyota Prado V8)
Baada ya kubanwa sana na maswali ya waongoza kipindi hicho, Chief kiumbe alifunguka kuhusu gari (Mkoko) anaomiliki Diamond Platnumz kwa sasa, ambalo ni Toyota V8 iliyogharimu zaidi ya dola laki moja, sawasawa na milioni 245 za Kitanzania ukijumuisha na ushuru. Msikilize hapa Chief Kiumbe
0 MAONI :
Post a Comment