kwa wale ambao hawafahamu ni kwamba ni BBALL KITAA ambalo ni jukwaa la kukuza mpira wa kikapu kitaani pamoja na hip hop music.
Sasa
kila Ijumaa moja ya mwezi huwa tuna kitu kinaitwa BBALL KITAA CHINI YA
MATAA na ijumaa hii tunatafuta WHO RUNS DSM kwenye swala la kikapu
ambapo tutakuwa na game moko kati ya UDSM VS CBE.
game
itahappen katika viwanja vya GYMKHANA DAR kuanzia saa 1 usiku na haina
kiingilio ndio maana nachukua nafasi hii kukualika, share na wenzako .
0 MAONI :
Post a Comment