Msanii Fally Ipupa amepata ajali na gari lake aina ya Bentley huko Kinshasa ambapo mtu mwingine aliekuwa kwenye gari lingine ameumia na kukimbizwa hospitali.
Fally Ipupa hajaumia kutokana gari lake kuwa na airbag ambazo zilimsaidia baada ya ajali hiyo kutokea.
Hizi hapa ni picha za gari la Fally Ipupa baada ya ajali
0 MAONI :
Post a Comment