Tangaza na Abd Da Hustler

Mh. Lowassa azindua bwawa kubwa la maji MONDULI


1
Waziri mkuu mstaafu an mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akifungua kibambaa kuashiria uzinduzi wa bwawa kubwa la maji la Leken katika kata ya Seleli wilayani Monduli leo Ijumaa.Bwawa hilo ambalo limegharimu kiasi Cha shilingi bilioni moja unusu, lina ukubwa wa kilomita tatu.
2 3 4 5 6
Mh Lowassa na mkewe wakivishwa nguo za kimasai ikiwa ni ishara ya shukrani kutoka kwa wananchi wa Seleli,kwa kufanikisha ujenzi wa bwawa hilo ambalo ni mkombozi mkubwa kwa wakaazi wa eneo hilo an maeneo ya jirani
7 8
Share on Google Plus

About Unknown

Naitwa Abdalla Ngowi, Napenda Michezo na kukupa habari mbalimbali kutoka katika kila kona ya ulimwengu huu!, karibu ABD da Hustler
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 MAONI :

Post a Comment