Arsenal ambao ni mabingwa wa kombe la FA mwaka 2014, wamethibitisha kuanza kutumia vifaa vya kampuni ya Puma kutokana na mkataba na kampuni hiyo kuanza kutumia rasmi hii leo July mosi.
Kampuni ya Puma itakuwa ikihusika kuivisha timu ya Arsenal jezi zenye nembo ya kampuni hiyo na pia itasaidia katika mambo mengi ambayo yamekubaliwa kimkataba.
Arsenal imethibitisha taarifa za kuanza kutumia vifaa vya kampuni ya Puma kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter.
0 MAONI :
Post a Comment