Tangaza na Abd Da Hustler

abari nzuri nyingine kwa Mshiriki wa Tanzania kutoka Miss World 2014…


Jana Desemba 10 Watanzania walimpokea kwa shangwe kubwa aliyekuwa mshiriki wa BBAHotshots Afrika Kusini, Idris.

Ushindi wa Idris ilikuwa habari njema, Miss World je?

Mshiriki wetu kwenye Mashindano ya Miss World, Happiness Watimanywa saa chache zilizopita ameweka ujumbe huu Instagram; “Tanzania Asanteni kwa support na uzalendo. Tuendelee mpaka namba Moja!!!!! #vote #PigaKura #DownloadTheApp #MissWorld2014”– @happinesswatimanywa

Katika list hiyo, Happiness ameshika nafasi ya tisa katika kumi bora ya top ten Miss World People’s Choice.

Hakika Desemba hii itakuwa mwezi wa sherehe kubwa kwa Tanzania iwapo tukimfanikisha Happiness kurudi na ushindi huu nyumbani. 

TANZANIA, Happiness Watimanya - Contestant Profil…: http://youtu.be/OAANobXSsqA

Share on Google Plus

About Unknown

Naitwa Abdalla Ngowi, Napenda Michezo na kukupa habari mbalimbali kutoka katika kila kona ya ulimwengu huu!, karibu ABD da Hustler
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 MAONI :

Post a Comment