Tangaza na Abd Da Hustler

DIAMOND PLUTNUMZ ALALA STUDIO ASEMA HALAFU WIMBO UTOKE MSEME KAIBA

Saa 6 usiku!Somewhere in Dar es salaam with ma producer
Tudd thomass nikukuandalia mambo mazuri mapya


Idea zipo nyingi kweli sijui nitumie ipi!!!!





Idea iko poa,tatizo mistari haipangiki kabisaa!!!


Huu mstali sijui uanze mwanzo??


.............au chorus asimamie mwangu Chegge...???




Kisula nae!!na hapa alinipiga???

Ahsante Mungu,mistari yote imesimama penyewe...ila chorus sasa


Ha ha ha hivi Chegge stayle yangu na yako vinaendana kweli!!??


Tudd vipi  tena!!nishamaliza ananirudisha nyumaa..ha ha ha!!!!!

Saa 10 alfajiri!!Baby  ananipigia akihofia usalama wangu
Share on Google Plus

About Unknown

Naitwa Abdalla Ngowi, Napenda Michezo na kukupa habari mbalimbali kutoka katika kila kona ya ulimwengu huu!, karibu ABD da Hustler
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 MAONI :

Post a Comment