2.Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na The Happy Planet Index nchi inayoongoza kwa furaha duniani ni Costa Rica,marekani inashika nafasi ya 105 kwenye orodha ya nchi zenye furaha duniani.
3.Kuna kitabu kimoja ambacho kinaitwa “what every man thinks about apart from sex” yaani “kitu ambacho wanaume wanafikiria tofauti na ngono”. kitabu hiki kimewahi kuweka rekodi ya mauzo ya juu , cha kushangaza kuhusu kitabu hiki ni kwamba kina kurasa 200 ambazo hazijaandikwa kitu chochote ndani yake.
4.Nchi ya marekani ni nchi ambayo inaongoza kwa kuwa na sheria za ajabu , mojawapo ya sheria hizo ni sheria iliyowekwa na serikali ya jimbo la North Carolina ambayo inasema kuwa ni hatia kuimba off key yaani ukiimba nje ya zile key za muziki basi umefanya hatia na unaweza kutozwa faini au kutumikia kifungo gerezani.
0 MAONI :
Post a Comment