Tangaza na Abd Da Hustler

Ulikua unayajua haya mambo manne rafiki yangu wa damu..?


students1.Utafiti uliofanywa barani ulaya umegundua kuwa wanafunzi ambao ni mashabiki wa mchezo wa soka hufanya vibaya kwenye mitihani yao wakati timu zao zinapofanya vizuri yaani timu inaposhinda takwimu za matokeo ya mitihani huwa chini.
2.Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na The Happy Planet Index nchi inayoongoza kwa furaha duniani ni Costa Rica,marekani inashika nafasi ya 105 kwenye orodha ya nchi zenye furaha duniani.
San Jose Costa rica
San Jose Costa Rica
3.Kuna kitabu kimoja ambacho kinaitwa “what every man thinks about apart from sex” yaani “kitu ambacho wanaume wanafikiria tofauti na ngono”. kitabu hiki kimewahi kuweka rekodi ya mauzo ya juu , cha kushangaza kuhusu kitabu hiki ni kwamba kina kurasa 200 ambazo hazijaandikwa kitu chochote ndani yake.
KITABU4.Nchi ya marekani ni nchi ambayo inaongoza kwa kuwa na sheria za ajabu , mojawapo ya sheria hizo ni sheria iliyowekwa na serikali ya jimbo la North Carolina ambayo inasema kuwa ni hatia kuimba off key yaani ukiimba nje ya zile key za muziki basi umefanya hatia na unaweza kutozwa faini au kutumikia kifungo gerezani.
Share on Google Plus

About Unknown

Naitwa Abdalla Ngowi, Napenda Michezo na kukupa habari mbalimbali kutoka katika kila kona ya ulimwengu huu!, karibu ABD da Hustler
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 MAONI :

Post a Comment