Ni muungano wa wakali kutoka nchi mbili za Afrika Mashariki, Ziggy Dee kutokea Uganda akimshirikisha Belle 9 toka Tanzania…Ziggy Dee amekuwa kimya kwa mda mrefu kidogo, ila amerudi tena na hii. “Baby Gal ”ndiyo jina la ngoma yenye mahadhi ya Dance Hall/ Ragga..
Isikilize na DOWNLOAD hapa..
0 MAONI :
Post a Comment