Tangaza na Abd Da Hustler

Kwa wale fans wa nguvu wa Wema Sepetu,hii kwa ajili yako…


Staa wa kike wa Bongo Movie,Wema Sepetu yuko Ghana kwenye maandalizi ya movie mpya ‘Day After Death’ iliyomuhusisha kipenzi cha akinadada, staa wa filamu Van Vicker.

Kupitia kwenye instagram ya staa huyo wa Ghana alifafanunua zaidi kuhusu ujio wa filamu hiyo mpya aliyoshirikiana na Wema Sepetu

‘#MyNextBigThing I am excited abt our Ghana Tanzania collaboration. You finally landed. Today was day 1. good stuff. I love the way you are passionate abt what you want and u get it done. Enjoy workin with you. watch for Day After Death (D.A.D) #DayAfterDeath starring Wema@wemasepetu and me van vicker. I am directing again ya’ll and acting. it’s challenging but I love the challenge. Hey its my daughter’s j’dyl debut in films as an actor.Aliandika Van Vicker

.

Share on Google Plus

About Unknown

Naitwa Abdalla Ngowi, Napenda Michezo na kukupa habari mbalimbali kutoka katika kila kona ya ulimwengu huu!, karibu ABD da Hustler
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 MAONI :

Post a Comment