Ni mtoto wa miaka 12 anaitwa Justin Kyler ambae aliingia kwenye show ya Jay Z huko North Carolina na kukaa kwenye siti za mbelembele akiwa na bango lenye maandishi ya kuomba kumuonyesha Jay Z uwezo wake kwenye kurap. ‘Can I rap for you?
Unaambiwa hii ishu haikua imepangwa, ni kweli huyu mtoto alikua na ndoto sana za kutambulika na Jay Z ndio maana akamsisitizia mama yake kumpeleka kwenye hii show, baada ya kumuona Jay Z aliamua kumuita kwenye stage na hiki ndicho alichofanya.
Video zote hizi mbili hapa chini zinahusika
0 MAONI :
Post a Comment